Khanga Moko Laki si Pesa jamanii eee!!!

Hehehehe. .hatari itoke wapi?
Halafu kumbe vya kuazima navyo vipo eeeh?
Anyway mimi namiliki, wewe je?

mie kiuno sina cha hivyooo mwenzangu ila nina majaaliwa mengine namshukuru mungu!we chako huwa unakiremba na nini?
 
Back
Top Bottom