Khaah!! Haya majaribu jamani

Khaah!! Haya majaribu jamani

We Haupo chuo kikuu,mwanafunzi wa darasa LA nne anajua kitu Kitamu,we usijue?
 
~~>>>Vyuo vikuu vinazalisha Viazi badala ya wasomi...

Mwanafunzi gani wa Chuo kikuu tena mwaka tatu haujui kuandika....

Mfano. apa, ayupo, io n.k.

Huu ni Uchafu gani!?!
sio hivyo kaka,, hapo nimetumia lugha ya maandishi isiyo rasmi (informal language) ,, lakini hiyo haimaanishi kwamba sijui lugha hii tamu ya kiswahili.
 
Mkuu nadhani wewe ni hanithi, siyo story ya kuleta jamvini hivyo na kuomba ushauri kwa wanaume. Ulitakiwa uimalize wewe mwenyewe chumbani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom