ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,286
- 19,463
Mkuu Ulisomea Sheria nn??
Hapana mkuu, sijawahi kusomea sheria!!
Mkuu Ulisomea Sheria nn??
Mkuu mbona unapenda uchonganishi hivyo?Fanya hivi mle utamu alafu mrekodi na pesa uusimpe akizingua vujisha picha
Kwani hiyo ni papuchi ya dhahabu hadi iwe na thaman ya laki moja?Salaaam,
Mimi ni mwanafunzi katika chuo kikuu komoja wapo nchini,Ndo nimeingia mwaka wa tatu msimu huu
Sasa juzi tumeripoti chuoni tayari kwa muendelezo wa masomo 2017/18, Kwa kiasi fulani nimefurahi tena kurudi chuoni maana nimepata kuonana na marafiki wengi tulioachana baada ya likizo ndefu ya takriban miezi mi4
Sasa bhana juzi nlikutana na Anita mazingira flan around na chuo, tulipiga stor mbili tatu kisha tukaagana ila mda tukiachana Anita aliniita na kuniomba namba zangu za simu, bila shida me nkampatia.(Anita ni mwanafunzi mwenzangu mwaka wa 3,sisi ni marafiki tu)
Ikiwa imepita kam siku tatu tangu nimpe Anita namba zangu, sasa juzi amentafuta kwa njia ya SMS, bas tukasalimiana na kujuliana hali kwa njia hio ya kuchat,, ila katika uko kuchat chat Anita akaanza kuniambia ye ayupo vizur, kumuuliza kwa nin akasema tayari ameishiwa pesa za matumizi,,,, nikamuuliza kivipi huishiwe pesa wakati juzi tu umepokea Boom(Fedha kwa Makazi na malazi kwa wanafunzi) , et akasema amemtumia kaka yake nyumbani watanue biashara yao,, me nkaona stor nying ikabid nimuulz sasa nkusaidiaje, Anita akasema naomba nimkopeshe japo laki 1 af kaka yake akimrudishia na mimi atanirudishia ela yangu,, me nkaelewa ila nkamwambia ufanye anirudishie mapema pale akipata io fedha,, sasa apo ndo kilikuja kizaazaa, et Anita akanijibu "ATA NKISHINDWA KUKULIPA, Afu NKAKUPA KITU KITAMU, SI UTANISAMEHE?
me Mpaka sasa sjajibu io txt maana kwanza sjajua iko kitu kitam ni kipi
Nani anaweze kunielekeza apo
[HASHTAG]#HiiKituNiReal[/HASHTAG]
sure chiefJoingeze bana acha kutusumbua
huyu kijana aliyennda kusoma kweli, wanatusumbua sasaJoingeze bana acha kutusumbua
sired ndio nini kiongozi au ulimaanisha threadMods futa hii sired Haina mashiko
kuandika ivyo sio kwamba sijui lugha, ni vema utambue lugha ya uandishi inatumika vipi katika muktadha mbalimbali.Mwaka wa tatu na bado hiyo unaandika io, hapo inakuwa apo, halafu inakuwa af! Ndo Kiswahili kinaboreshwa na wasomi au?
Yaaah mkuu nlimaanisha hvosired ndio nini kiongozi au ulimaanisha thread
Unataka kufanya "assist"?Mpe anita laki moja halafu mie nipe namba yake then deni hamishia kwangu.
Siku hizi vyuoni watu wanaenda kujifunza ujinga...~~>>>Vyuo vikuu vinazalisha Viazi badala ya wasomi...
Mwanafunzi gani wa Chuo kikuu tena mwaka tatu haujui kuandika....
Mfano. apa, ayupo, io n.k.
Huu ni Uchafu gani!?!