Khaah!! Haya majaribu jamani

Khaah!! Haya majaribu jamani

...
...
...et Anita akanijibu "ATA NKISHINDWA KUKULIPA, Afu NKAKUPA KITU KITAMU, SI UTANISAMEHE?

me Mpaka sasa sjajibu io txt maana kwanza sjajua iko kitu kitam ni kipi

Nani anaweze kunielekeza apo
[HASHTAG]#HiiKituNiReal[/HASHTAG]
Ukimwi upo, na unaua,
Graduate with A's, NOT Aids
 
Naona kuna kitu hakiko sawa hapo. Nitatofautiana na wengine kidogo. Mfano; Anita amekuwa akikumezea mate siku m nyingi. Kiafrika bint kukuambia kuwa nakutamani ni soo sana. Sasa, alipopata kanafasi ka kukuulinza namba yako ukammpa bila hiyana.
Sasa ametumia mwanya wa kukukopa ili umlambe tu, Huwezi jiuliza; Ka anita alikuwa na nia mbaya, si angengojea auvute mkwanja kwanza ndo akuambie bei ya puchi yake? Usiogope, mpe anita laki aliyoomba. Lakini, mwambie ungetamani umlambe ile ni baada ya kukulipa laki yako. Akikuahidi kuja baada ya kukulipa, jua she was very very much in love with yu but could not speak out.
 
Huo ni ubwege yeye kaona boom lake la kufanyia biashara Ila boom lako la kununulia papuchi acha uboya ndio nyinyi mkitoka vyuoni mnakuja kutusumbua huku mtaani na wakati mnapata pesa hamkuweza kuweka akiba ili mkitoka huko muwe na shughuli za kufanya
 
Usikubali akupe kitu kitamu, atakupa mara moja na laki itakua imeisha!!

Labda muandikishane mkataba na Anita wa kukupa kitu kitamu kwa semester nzima, hapo laki yako itakua imeenda kiroho safi..

Mkuu Ulisomea Sheria nn??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom