Safi sheria imechukua mkondo wake big up hadi kieleweke
waliokula mbumba si hawa mkuu wangu, waliokula mbumba wapo miji mikubwa kama cape town, washngton wakitanua kwa majumba makubwa waliojenga, hawa ni mesenja tu, katika utetezi wao walieleza kila kitu, lakini majaji wa voda fasta hawakusikia la kuambiwa badala ya kikikwete. jiulize wewe pale ofisini kwako, unapotekeleza wajibu wako ni vitu vingapi unasaini kwa maagizo ya toka juu? yakikukuta haya utasemaje?Sheria imechukua mkondo wake kwa hisani ya CCM waliokula hizo mbumba
Kuna haja ya kubadili sheria ya maswala kama haya ili iwe fundisho.
Miaka 5 michache mno.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ni kweli mkuu, nasikia ni instructions tu zilikuwa zinatoka na wanaamriwa wakatekeleze hata kama ni week end walikuwa wanaitwa na kupigiwa simu na wakubwa ili kufuatilia kama mzigo uko tayari. Wametolewa Kafara kabisa hawa. Hawakuwahi kuwa na kampuni ya kuuiba hela ya EPA.
Wao hawakuwa na hela za kwenda KUFIA marekani kama Daudi?
Tukumbushe majina yao Mkuu maana nakumbuka wachache kama Imani Makosya, Esther Komu, Bosco Kimela na wengine wawili sikumbuki. Sema wana kesi tofauti tofauti. Dah!!
Tena huyu atakuwa alitumika sana!!! Japo kukimbiza file!!
Wafanyakazi wa bot ambao walikuwa wanshatakiwa kwa kesi zile epa kutoka kitengo cha madeni ya nje, wamapatikana na hatia katika hukumu ilyosomwa jioni na kuhukumiwa miaka 5 jela
source: Mahakamani jioni hii
hv walishindwa kurudisha?mbona wako waliorudisha wakasamehewa bana?