ukikubali kutumiwa na wanasiasa madhara yake ndio hayo. sioni haja ya kufungwa miaka 5 wakiwa wametumia vyeo walivyo navyo kuididmiza uchumi wetu hapa tunadanganywa tu ili ionekane wanatekeleza kile tunachokitakaexactly mkuu, hawa walipewa amri watoe pesa, wengi wao ni maskini wa kutupa, wale waliotajirika na hizi pesa, rostam, lowasa, mangula, jk wako mtaani wakijinafasi.
Mungu atakuwa na hawa