Kesi ya UHAINI ya TAL .. Figisu zimeanza

Kesi ya UHAINI ya TAL .. Figisu zimeanza

chukua ukweli huo na uwaeleze na wenzako bila mihemko gentleman,
hakuna namna nyingine :pulpTRAVOLTA:
Take this gentleman.. Kisha wapelekee nao ukawaoneshe
FB_IMG_1747532838109.jpg
 
matha karua na genge lake kwa kutumwa na mkimbizi maria, hawataingia Tanazania kilofa :pedroP:

in fact,
wamekuja Tanzania kilofa na wanarudishwa kwoo kilofa vilevile. Lazima kua na adabu:pulpTRAVOLTA:
Mwanangu kuna mawili upo narrow sana upstairs au upo unaongozwa na hisia,
ni hivi kwa mujibu wa Katiba ya JMT, Ibara ya 107A(1), mahakama zipo kwa ajili ya kutoa haki kwa mujibu wa sheria. Na kwa mujibu wa misingi ya haki ya kimataifa, kesi za wazi zinaweza kuhudhuriwa na yeyote, raia au mgeni, kama hakuna zuio la mahakama.
Hakuna sheria yoyote inayowakataza mawakili kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kushuhudia kesi ya wazi isipokuwa tu kama mtu huyo ana rekodi ya hatari kwa usalama wa taifa, jambo ambalo halijaonyeshwa wala kuthibitishwa dhidi ya Martha Karua wala wenzake.

Jitahidi kujua mambo hata haya madogo tu yatakusaidia usiabike Mpwa!
 
Mwanangu kuna mawili upo narrow sana upstairs au upo unaongozwa na hisia,
ni hivi kwa mujibu wa Katiba ya JMT, Ibara ya 107A(1), mahakama zipo kwa ajili ya kutoa haki kwa mujibu wa sheria. Na kwa mujibu wa misingi ya haki ya kimataifa, kesi za wazi zinaweza kuhudhuriwa na yeyote, raia au mgeni, kama hakuna zuio la mahakama.
Hakuna sheria yoyote inayowakataza mawakili kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kushuhudia kesi ya wazi isipokuwa tu kama mtu huyo ana rekodi ya hatari kwa usalama wa taifa, jambo ambalo halijaonyeshwa wala kuthibitishwa dhidi ya Martha Karua wala wenzake.

Jitahidi kujua mambo hata haya madogo tu yatakusaidia usiabike Mpwa!
sheria zetu za uhamiaji zikoje? je hatuna haki ya kumzuia mtu kuingia nchini hatakama sio mhalifu?

lakini akingangania kuja mwacheni aje tushughulike nae ndani kwa ndani
 
Mwanangu kuna mawili upo narrow sana upstairs au upo unaongozwa na hisia,
ni hivi kwa mujibu wa Katiba ya JMT, Ibara ya 107A(1), mahakama zipo kwa ajili ya kutoa haki kwa mujibu wa sheria. Na kwa mujibu wa misingi ya haki ya kimataifa, kesi za wazi zinaweza kuhudhuriwa na yeyote, raia au mgeni, kama hakuna zuio la mahakama.
Hakuna sheria yoyote inayowakataza mawakili kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kushuhudia kesi ya wazi isipokuwa tu kama mtu huyo ana rekodi ya hatari kwa usalama wa taifa, jambo ambalo halijaonyeshwa wala kuthibitishwa dhidi ya Martha Karua wala wenzake.

Jitahidi kujua mambo hata haya madogo tu yatakusaidia usiabike Mpwa!
ulie deep tuliza mihemko basi na makasiriko,
jifunze kuzoea ukweli bila kujipiga kifua gentleman. Lisu na malofa wenzie walizuiwa Angola kwa sababu zilezile ambazo zimewazuia iron lady lofa matha Karua 🐒
 
Mwanangu kuna mawili upo narrow sana upstairs au upo unaongozwa na hisia,
ni hivi kwa mujibu wa Katiba ya JMT, Ibara ya 107A(1), mahakama zipo kwa ajili ya kutoa haki kwa mujibu wa sheria. Na kwa mujibu wa misingi ya haki ya kimataifa, kesi za wazi zinaweza kuhudhuriwa na yeyote, raia au mgeni, kama hakuna zuio la mahakama.
Hakuna sheria yoyote inayowakataza mawakilinaj kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kushuhudia kesi ya wazi isipokuwa tu kama mtu huyo ana rekodi ya hatari kwa usalama wa taifa, jambo ambalo halijaonyeshwa wala kuthibitishwa dhidi ya Martha Karua wala wenzake.

Jitahidi kujua mambo hata haya madogo tu yatakusaidia usiabike Mpwa!
Unajihangaisha kuelimisha huo msukule wa Lumumba
 
Tunasujudu mpaka Mkenya

Kuna siku huyo Martha Karua atarudi na utetezi wa ushoga. Mtampokea kwa furaha kama leo?
Shida ndio hii, watu wakitaka mifumo iwe accountable, tayari inakikbiliwa kesi ya ushoga, as if ndio kesi iliyopo
This is pathetic response

Kuna kesi yoyote amewahi kutetea hao watu? Kama una hizo record pls share
 
Nimepokea taarifa ya kusikitisha na ya kutia wasiwasi kutoka kwa Rais wa Chama cha Wanasheria wa Kenya (LSK), Wakili Faith Odhiambo, kuhusu kunyimwa kuingia nchini Tanzania kwa Mawakili Gloria Kimani (Mjumbe wa Baraza la LSK), Martha Karua, na Lyn Ngugi. Mawakili hawa walipanga kuhudhuria na kushuhudia mwenendo wa kesi inayoendelea dhidi ya Wakili Tundu Antipas Lissu katika Mahakama ya Mwanzo ya Kisutu jijini Dar es Salaam.

Kwa kujibu hali hii, nimechukua hatua za haraka kwa kumtuma Wakili Hekima Mwasipu kufuatilia kwa kina suala hili ili hatua stahiki za kisheria zichukuliwe.

Tunapenda kuwakumbusha mamlaka husika kwamba nchi hii inaongozwa kwa misingi ya utawala wa sheria na Katiba yake, na hakuna zuio lolote la kisheria linalokataza mtu yeyote kuhudhuria kesi ya wazi mahakamani kuhusu mashtaka yanayomkabili Wakili Tundu Antipas Lissu.

Tunaomba kwa dhati kwamba mawakili hawa waruhusiwe kuingia nchini, kwani uwepo wao ni ushahidi wa dhamira yetu ya kuendeleza haki na usawa mbele ya jumuiya ya kimataifa.

Yanayoendelea kwa sasa ni ukiukwaji mkubwa wa sheria na Katiba ya nchi. Kama Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), tunafuatilia kwa makini hali hii.

Aidha, pamoja na kupeleka mawakili kumuunga mkono Wakili Tundu Lissu katika kesi hiyo kesho, mimi binafsi nitahudhuria kikao cha mahakama kwa wakati uliopangwa.

Tunaziomba Idara ya Uhamiaji ijiepushe na matendo yanayoharibu taswira ya taifa letu kwa kuchochea migogoro isiyo ya lazima na isiyo na msingi wowote.

Tunalaani vikali na kudai kusitishwa mara moja kwa vitendo hivi visivyo halali vinavyoaibisha na kudhalilisha heshima ya nchi yetu.

BAK Mwabukusi
Rais, Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)View attachment 3338065
Huko kwao Kenya kesi sinawashinda kuna ukabila,ugaidi,mauaji mpaka ya wabunge ,wasichana wananyanyaswa nchi za kiarabu wanaofanyakazi za ndani.Wamzshinwa kutoa boriti kwenye jicho lao,wanataka kutoa kibanzi kwenye jicho la mwingine
 
Nimepokea taarifa ya kusikitisha na ya kutia wasiwasi kutoka kwa Rais wa Chama cha Wanasheria wa Kenya (LSK), Wakili Faith Odhiambo, kuhusu kunyimwa kuingia nchini Tanzania kwa Mawakili Gloria Kimani (Mjumbe wa Baraza la LSK), Martha Karua, na Lyn Ngugi. Mawakili hawa walipanga kuhudhuria na kushuhudia mwenendo wa kesi inayoendelea dhidi ya Wakili Tundu Antipas Lissu katika Mahakama ya Mwanzo ya Kisutu jijini Dar es Salaam.

Kwa kujibu hali hii, nimechukua hatua za haraka kwa kumtuma Wakili Hekima Mwasipu kufuatilia kwa kina suala hili ili hatua stahiki za kisheria zichukuliwe.

Tunapenda kuwakumbusha mamlaka husika kwamba nchi hii inaongozwa kwa misingi ya utawala wa sheria na Katiba yake, na hakuna zuio lolote la kisheria linalokataza mtu yeyote kuhudhuria kesi ya wazi mahakamani kuhusu mashtaka yanayomkabili Wakili Tundu Antipas Lissu.

Tunaomba kwa dhati kwamba mawakili hawa waruhusiwe kuingia nchini, kwani uwepo wao ni ushahidi wa dhamira yetu ya kuendeleza haki na usawa mbele ya jumuiya ya kimataifa.

Yanayoendelea kwa sasa ni ukiukwaji mkubwa wa sheria na Katiba ya nchi. Kama Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), tunafuatilia kwa makini hali hii.

Aidha, pamoja na kupeleka mawakili kumuunga mkono Wakili Tundu Lissu katika kesi hiyo kesho, mimi binafsi nitahudhuria kikao cha mahakama kwa wakati uliopangwa.

Tunaziomba Idara ya Uhamiaji ijiepushe na matendo yanayoharibu taswira ya taifa letu kwa kuchochea migogoro isiyo ya lazima na isiyo na msingi wowote.

Tunalaani vikali na kudai kusitishwa mara moja kwa vitendo hivi visivyo halali vinavyoaibisha na kudhalilisha heshima ya nchi yetu.

BAK Mwabukusi
Rais, Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)View attachment 3338065
Vitendo vya Polisi, Uhamiaji, Waziri wa Mambo ya Dani au yoyote Yule , vina haribu taswira na ukweli wa Huru wa Mahakama
 
Vitendo vya Polisi, Uhamiaji, Waziri wa Mambo ya Dani au yoyote Yule , vina haribu taswira na ukweli wa Huru wa Mahakama
Kwao.Kenya kuna ukabila wa kutisha na na ugaidi na wafanyakazi wa ndani house girl kunyanyaswa nchi za uarabuni,mbona hashughuliki na kuwasaidia kesi zao Akae alee wajukuu
 
Back
Top Bottom