Kesi ya UHAINI ya TAL .. Figisu zimeanza

Kesi ya UHAINI ya TAL .. Figisu zimeanza

Kwao.Kenya kuna ukabila wa kutisha na na ugaidi na wafanyakazi wa ndani house girl kunyanyaswa nchi za uarabuni,mbona hashughuliki na kuwasaidia kesi zao Akae alee wajukuu
Ukabila , iwe Udini , haufuniki uhuru wa Mahakama zetu.
 
matha karua na genge lake kwa kutumwa na mkimbizi maria, hawataingia Tanazania kilofa :pedroP:

in fact,
wamekuja Tanzania kilofa na wanarudishwa kwoo kilofa vilevile. Lazima kua na adabu:pulpTRAVOLTA:
Kesi zao za Kenya,zinawashinda,kuna ukabila,ugaidi
Halafu unatuambia tusijadili watu, hivi kweli utaacha kumjadili Hangaya kwa haya mambo kweli?

Yohana nakuamini wewe siyo CHAWA nakuombea utoke kwenye Kila aina ya maslahi ya CCM
Kibibi.kizee atokz Kenya badala ya kulea wajukuu
 
sheria zetu za uhamiaji zikoje? je hatuna haki ya kumzuia mtu kuingia nchini hatakama sio mhalifu?

lakini akingangania kuja mwacheni aje tushughulike nae ndani kwa ndani
Umshughulikie kwa kosa gani? Unajitambua kweli?
 
Ukabila , iwe Udini , haufuniki uhuru wa Mahakama zetu.
Ukabila ulioko Kenya si wakawaida,wakikuyu na wajaluo na wakalenjini. Ugaidi,dada wakazl wananyanyaswa nchi za kiarabu mpaka kuullwa,mbona hawawasaidii kufungua kesi
 
Ukabila ulioko Kenya si wakawaida,wakikuyu na wajaluo na wakalenjini Ugaidi,dada wakazu wananyantaqwa nchi za kiarabu mpaka kuuluwa,mbona hawawasaidii kufungua kesi
Bado hakuhalalishi Sisi kufanya vituko
 
Another foolish rhetoric, kikwajuni kutoka kwa chura kiziwi
Ulweli unauma.Huko kwao kuna kesi za house girl wananyanyaswa na kuuliwa nchi kiarabu.Mbona hawaendi kuwatetea?Watu wanauwana kwa ukabila mpaka mbunge kauliwa.watu wanauliwa na magaidi,hawatetei
 
Hao uhamiaji ambao account yao inapost mambo kama haya??
IMG-20231115-WA0001.jpg
 
Ulweli unauma.Huko kwao kun1 kesi za house girl wananyanyasw1 na kuuliwa nchi kiarabu.Mbona hawaendi kuwatetea?Watu wanauwana kwa ukabila mpaka mbunge kauliwa.watu wanauliwa na magaidi,hawatetei
Hapa hakuna ukweli unaouma bali upumbavu unaokera, tunazungumzia kesi ya Lissu wewe tunazungumzia ujuha wa kutoka Kizimkazi, Sheria gani iliyotumika kuwazuia na hofu ya nini kwenye kesi yenu?

Ndio maana Mkapa aliwaua
 
matha karua na genge lake kwa kutumwa na mkimbizi maria, hawataingia Tanazania kilofa :pedroP:

in fact,
wamekuja Tanzania kilofa na wanarudishwa kwoo kilofa vilevile. Lazima kua na adabu:pulpTRAVOLTA:
Kesi zao za Kenya,zinawashinda,kuna ukabila,ugaidi
Shida ndio hii, watu wakitaka mifumo iwe accountable, tayari inakikbiliwa kesi ya ushoga, as if ndio kesi iliyopo
This is pathetic response

Kuna kesi yoyote amewahi kutetea hao watu? Kama una hizo record pls share
Hawana, wangewatetea dada wa kazi wa Kenya wananyanyaswa na kuuliwa uwarabuni na pia wangeweka masharti ya kwenda kufanyakazi huko na kuwafatilia wasipate manyanyaso wala kuuliwa,na kufanyakazi kwa mda maalumu kwa siku na wiki na kulipwa mishahara yao.
 
Kesi zao za Kenya,zinawashinda,kuna ukabila,ugaidi

Hawana wangetetea dada wa kazi wa Kenya wananyanyaswa na kuuliwa uwarabuni
Huna point hapo, kesi zao hazijawashinda, east africa nzima ndio wenye katiba inayowezw kumuadhib kiongoz wa umma, tz ,uganda mmewah kufanya hivyo?

Yes wana mdhaifu yao , lakin atleast wamepiga hatua kwenye suala la kisheria na katiba
 
Back
Top Bottom