Kesi ya UHAINI ya TAL .. Figisu zimeanza

Kesi ya UHAINI ya TAL .. Figisu zimeanza

JWTZ mnawaangusha wananchi waliowaamini na wanaowaamini SIKU ikitokea JWTZ ikapashana misuli na Rwanda hamtaamini response ya watanzania dhidi yenu JWTZ jitengeni na mambo ambayo policcm wananasibishwa nayo hata wakipigwa na radi wananchi wanafurahi.
 
JWTZ mnawaangusha wananchi waliowaamini na wanaowaamini SIKU ikitokea JWTZ ikapashana misuli na Rwanda hamtaamini response ya watanzania dhidi yenu JWTZ jitengeni na mambo ambayo policcm wananasibishwa nayo hata wakipigwa na radi wananchi wanafurahi.
 
Hii nchi kwa sasa unaweza kuhisi imetekwa na kundi la panya road. Yaani ni vurugu vurugu na vitisho kila mahali.
Waliopewa dhamana za juu za uongozi,ni mbeleko...shule za masomo ya jioni st yohana university college pappua new gine
 
matha karua na genge lake kwa kutumwa na mkimbizi maria, hawataingia Tanazania kilofa :pedroP:

in fact,
wamekuja Tanzania kilofa na wanarudishwa kwoo kilofa vilevile. Lazima kua na adabu:pulpTRAVOLTA:
wesyenge kama nyie ndio mnafanya watanzania tuonekane maiti
 
Nimepokea taarifa ya kusikitisha na ya kutia wasiwasi kutoka kwa Rais wa Chama cha Wanasheria wa Kenya (LSK), Wakili Faith Odhiambo, kuhusu kunyimwa kuingia nchini Tanzania kwa Mawakili Gloria Kimani (Mjumbe wa Baraza la LSK), Martha Karua, na Lyn Ngugi. Mawakili hawa walipanga kuhudhuria na kushuhudia mwenendo wa kesi inayoendelea dhidi ya Wakili Tundu Antipas Lissu katika Mahakama ya Mwanzo ya Kisutu jijini Dar es Salaam.

Kwa kujibu hali hii, nimechukua hatua za haraka kwa kumtuma Wakili Hekima Mwasipu kufuatilia kwa kina suala hili ili hatua stahiki za kisheria zichukuliwe.

Tunapenda kuwakumbusha mamlaka husika kwamba nchi hii inaongozwa kwa misingi ya utawala wa sheria na Katiba yake, na hakuna zuio lolote la kisheria linalokataza mtu yeyote kuhudhuria kesi ya wazi mahakamani kuhusu mashtaka yanayomkabili Wakili Tundu Antipas Lissu.

Tunaomba kwa dhati kwamba mawakili hawa waruhusiwe kuingia nchini, kwani uwepo wao ni ushahidi wa dhamira yetu ya kuendeleza haki na usawa mbele ya jumuiya ya kimataifa.

Yanayoendelea kwa sasa ni ukiukwaji mkubwa wa sheria na Katiba ya nchi. Kama Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), tunafuatilia kwa makini hali hii.

Aidha, pamoja na kupeleka mawakili kumuunga mkono Wakili Tundu Lissu katika kesi hiyo kesho, mimi binafsi nitahudhuria kikao cha mahakama kwa wakati uliopangwa.

Tunaziomba Idara ya Uhamiaji ijiepushe na matendo yanayoharibu taswira ya taifa letu kwa kuchochea migogoro isiyo ya lazima na isiyo na msingi wowote.

Tunalaani vikali na kudai kusitishwa mara moja kwa vitendo hivi visivyo halali vinavyoaibisha na kudhalilisha heshima ya nchi yetu.

BAK Mwabukusi
Rais, Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)View attachment 3338065
Ccm wanazidi kulikoroga
 
When you get tightened so badly.....that even threatens your breathing... Then the only means to get yourself out is to fight harder....shall we expect that to happen sooner?? 😂
 
JWTZ mnawaangusha wananchi waliowaamini na wanaowaamini SIKU ikitokea JWTZ ikapashana misuli na Rwanda hamtaamini response ya watanzania dhidi yenu JWTZ jitengeni na mambo ambayo policcm wananasibishwa nayo hata wakipigwa na radi wananchi wanafurahi.
Jwtz ni jeshi lililo jijengea heshima since waaay back my man.
Just because wako kimya haimaanish hawafahamu kinachoendelea
 
Back
Top Bottom