Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,781
- 2,077
Ndio.Shida ndio hii, watu wakitaka mifumo iwe accountable, tayari inakikbiliwa kesi ya ushoga, as if ndio kesi iliyopo
This is pathetic response
Kuna kesi yoyote amewahi kutetea hao watu? Kama una hizo record pls share
Martha Karua anasapoti ushoga!
Wabongo hamjui kwamba haya ma human rights huwa yanakuja pamoja kwenye package ????
Martha Karua kama mwanaharakati hawezi kukubalika kwenye duru za kimataifa - Wazungu sana sana - kama hata sapoti haki za vitu mbali mbali kama ushoga.