BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,021
Hakuna kesi hapo Mkuu ni huyo vichokochoko kulewa madaraka na kuyatumia vibaya ili tu kutunyamazisha Watanzania katika madai yetu ya msingi kabisa ya kudai Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi.
Kesi ya kipuuzi sana hii!