Mapokezi ya Freeman Mbowe yavunja rekodi Mwanza, yafananishwa na Mapokezi ya Mandela DSM alipotoka Jela

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,804
218,449
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Mwanza, Kwamba Mapokezi ya Mwamba Mwenyewe, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe yametikisa Mwanza kwa kishindo kikuu, kiasi cha kusimamisha shughuli za watu kwa dakika 90.

Hii ni hatari mno! Ikumbukwe kwamba safari ya ile kesi ya uongo ya Ugaidi aliyobambikiwa Mbowe, ilianzia Mwanza, bado wananchi wa Mwanza wanayo kumbukumbu ya jambo lile lililofedhehesha Nchi yetu Duniani, jambo lile ndilo linatajwa kama chachu ya Mapokezi haya ya kihistoria jijini Mwanza.

Wadau wanafananisha mapokezi ya leo ya Mbowe huko Mwanza na Mapokezi ya Nelson Mandela aliyoyapata DSM miaka ya mwanzo ya 90, baada ya kutoka Jela ya Makaburu na kupokelewa na Mwl Nyerere.

Kama mambo ndio yako hivi, hatujui hadi kufika 2025 hali itakuwaje.

Mungu ibariki CHADEMA.
 
Tarehe ya leo ndiyo ilizaliwa Chadema miaka 30 iliyopita. Umri wa miaka 30 ni umri wa mtu mzima ambaye lazima atakuwa alishapiga hatua kadhaa kimaisha na wengi wao wanakuwaga wameshajenga tayari.

Licha ya Chadema kuongozwa kwa muda mrefu na billionea Mbowe lakini leo inatimiza miaka 30 ikiwa na mbunge mmoja tu bungeni na haina ofisi ya chama!, mpaka leo wamepanga kwenye jengo chafu kwenye mtaa wa mateja ws ufipa na manyanya.
 
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Mwanza , Kwamba Mapokezi ya Mwamba Mwenyewe , Mtemi Isike , Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe yametikisa Mwanza kwa kishindo kikuu , kiasi cha kusimamisha shughuli za watu kwa dakika 90 .

Hii ni hatari mno ! Ikumbukwe kwamba safari ya ile kesi ya uongo ya Ugaidi aliyobambikiwa Mbowe , ilianzia Mwanza , bado wananchi wa Mwanza wanayo kumbukumbu ya jambo lile lililofedhehesha Nchi yetu Duniani , jambo lile ndilo linatajwa kama chachu ya Mapokezi haya ya kihistoria jijini Mwanza .

Wadau wanafananisha mapokezi ya leo ya Mbowe huko Mwanza na Mapokezi ya Nelson Mandela aliyoyapata DSM miaka ya mwanzo ya 90 , baada ya kutoka Jela ya Makaburu na kupokelewa na Mwl Nyerere .

Kama mambo ndio yako hivi , hatujui hadi kufika 2025 hali itakuwaje .

Mungu ibariki Chadema .
Weka PICHA
 
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Mwanza , Kwamba Mapokezi ya Mwamba Mwenyewe , Mtemi Isike , Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe yametikisa Mwanza kwa kishindo kikuu , kiasi cha kusimamisha shughuli za watu kwa dakika 90 .

Hii ni hatari mno ! Ikumbukwe kwamba safari ya ile kesi ya uongo ya Ugaidi aliyobambikiwa Mbowe , ilianzia Mwanza , bado wananchi wa Mwanza wanayo kumbukumbu ya jambo lile lililofedhehesha Nchi yetu Duniani , jambo lile ndilo linatajwa kama chachu ya Mapokezi haya ya kihistoria jijini Mwanza .

Wadau wanafananisha mapokezi ya leo ya Mbowe huko Mwanza na Mapokezi ya Nelson Mandela aliyoyapata DSM miaka ya mwanzo ya 90 , baada ya kutoka Jela ya Makaburu na kupokelewa na Mwl Nyerere .

Kama mambo ndio yako hivi , hatujui hadi kufika 2025 hali itakuwaje .

Mungu ibariki Chadema .
Ka picture bse chawa
 
Tarehe ya leo ndiyo ilizaliwa Chadema miaka 30 iliyopita. Umri wa miaka 30 ni umri wa mtu mzima ambaye lazima atakuwa alishapiga hatua kadhaa kimaisha na wengi wao wanakuwaga wameshajenga tayari.

Licha ya Chadema kuongozwa kwa muda mrefu na billionea Mbowe lakini leo inatimiza miaka 30 ikiwa na mbunge mmoja tu bungeni na haina ofisi ya chama!, mpaka leo wamepanga kwenye jengo chafu kwenye mtaa wa mateja ws ufipa na manyanya.
Ukiingia ofisi za chadema uwe umechoma kabisa sindano za tetenasi, bati za pale ufipa 24 hours zinatiririsha vumbi la kutu.
 
Takataka, huyo mpiga disco unamfananisha na Mandela? Mvuta sigara? .

Timing ya kisiasa iliyofanywa imewastukiza, mmepewa Uhuru kwenye kisahani Cha dhahabu, mnachofanya Sasa ni kukikodolea macho kisahani, you have nothing to celebrate.

Hali ya kisiasa imepoooa, sana, kuliko wakati wowote ule.

The best technique mngetumia ni kutengeneza heat ya kisiasa kabla ya mkutano huo.

Na media zote zitapigwa barafu kidoogo, muonekane kama mlienda kuchekesha vichaa.

Baada ya hapo zinafata spinning za miezi miwili mfululizo kuwaweka watanzania bize na mengineyo
 
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Mwanza , Kwamba Mapokezi ya Mwamba Mwenyewe , Mtemi Isike , Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe yametikisa Mwanza kwa kishindo kikuu , kiasi cha kusimamisha shughuli za watu kwa dakika 90 .

Hii ni hatari mno ! Ikumbukwe kwamba safari ya ile kesi ya uongo ya Ugaidi aliyobambikiwa Mbowe , ilianzia Mwanza , bado wananchi wa Mwanza wanayo kumbukumbu ya jambo lile lililofedhehesha Nchi yetu Duniani , jambo lile ndilo linatajwa kama chachu ya Mapokezi haya ya kihistoria jijini Mwanza .

Wadau wanafananisha mapokezi ya leo ya Mbowe huko Mwanza na Mapokezi ya Nelson Mandela aliyoyapata DSM miaka ya mwanzo ya 90 , baada ya kutoka Jela ya Makaburu na kupokelewa na Mwl Nyerere .

Kama mambo ndio yako hivi , hatujui hadi kufika 2025 hali itakuwaje .

Mungu ibariki Chadema .
Bara bara nzima ya nyashishi mpaka kisesa nimepishana na piki piki mbili tu zenye bendera na zenyewe sijui zimelazmishwa au hela haikutosha hawapigi hata ile nyimbo ya people's power.
Kama hayo ndio yalikuwa mapokezi ya mandera sawa.
 
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Mwanza , Kwamba Mapokezi ya Mwamba Mwenyewe , Mtemi Isike , Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe yametikisa Mwanza kwa kishindo kikuu , kiasi cha kusimamisha shughuli za watu kwa dakika 90 .

Hii ni hatari mno ! Ikumbukwe kwamba safari ya ile kesi ya uongo ya Ugaidi aliyobambikiwa Mbowe , ilianzia Mwanza , bado wananchi wa Mwanza wanayo kumbukumbu ya jambo lile lililofedhehesha Nchi yetu Duniani , jambo lile ndilo linatajwa kama chachu ya Mapokezi haya ya kihistoria jijini Mwanza .

Wadau wanafananisha mapokezi ya leo ya Mbowe huko Mwanza na Mapokezi ya Nelson Mandela aliyoyapata DSM miaka ya mwanzo ya 90 , baada ya kutoka Jela ya Makaburu na kupokelewa na Mwl Nyerere .

Kama mambo ndio yako hivi , hatujui hadi kufika 2025 hali itakuwaje .

Mungu ibariki Chadema .
Alafu nikama vile kauwanja kanakuwa kadgo vile😵😵
 
😂😂😂
 

Attachments

  • images (18).jpeg
    images (18).jpeg
    5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom