Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake Watatu kuendelea tena tarehe 26/10/2021

Wale mlio karibu au mlio mahakamani kabisa tunawategemea zaidi kupata mtiririko wa kesi kadri itakavyokuwa inaendelea chini ya Jaji mpya kijana.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
 
Wamrudishe Luvanda, maana wote ninwale wale.. Wana hongwa vyeo wana sahau viapo vyao mbele ya Mungu.
 
SSHaliposema hataki kodi za dhuluma nilianza kumuelewa sasa huu uonevu na mkono chuma tena ni dhuluma dhidi ya haki ya wadio kosa.....dhambi kubwa mnooo
 
FCmR3juWYAMD2bJ
 
Back
Top Bottom