B brazaj JF-Expert Member Jul 26, 2016 27,824 35,822 Oct 26, 2021 #81 johnthebaptist said: Naona bado wako getini kwenye mchakato! Click to expand... Watakuwa wanatafakari: Maana mioyo yao ilishakufa ganzi: Kwani nini kiwatishe, kiwasikitishe au hata kushangilia?
johnthebaptist said: Naona bado wako getini kwenye mchakato! Click to expand... Watakuwa wanatafakari: Maana mioyo yao ilishakufa ganzi: Kwani nini kiwatishe, kiwasikitishe au hata kushangilia?
Kiranja Mkuu JF-Expert Member Feb 18, 2010 4,066 4,085 Oct 26, 2021 #82 johnthebaptist said: Wale mlio karibu au mlio mahakamani kabisa tunawategemea zaidi kupata mtiririko wa kesi kadri itakavyokuwa inaendelea chini ya Jaji mpya kijana. Mungu wa mbinguni awabariki sana! Click to expand... MBOWE sio GAIDI
johnthebaptist said: Wale mlio karibu au mlio mahakamani kabisa tunawategemea zaidi kupata mtiririko wa kesi kadri itakavyokuwa inaendelea chini ya Jaji mpya kijana. Mungu wa mbinguni awabariki sana! Click to expand... MBOWE sio GAIDI