Freeman Mbowe Kutikisa Sherehe za Ruto

Freeman Mbowe Kutikisa Sherehe za Ruto

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,265
Reaction score
283,169
Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.

Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana la vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.

Chanzo: Tanzania Daima

Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
 
Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.

Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana ka vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.

Chanzo: Tanzania Daima

Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
Eti Mtemi Isike🤣🤣
 
kakundi kadogo sana ka vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.

Chama chetu CHADEMA kinatambulikana kuwa ni chama cha kweli cha siasa tofauti na vyama-kongwe-dola vilivyojibatiza kuwa ni revolutionary (mapinduzi) ambavyo havina ushawishi wala uhalali wa kutambulikana kama vyama vya siasa katika karne hii tuliyo nayo.
 
Chama chetu CHADEMA kinatambulikana kuwa ni chama cha kweli cha siasa tofauti na vyama-kongwe-dola vilivyojibatiza kuwa ni revolutionary (mapinduzi) ambavyo havina ushawishi wala uhalali wa kutambulikana kama vyama vya siasa katika karne hii tuliyo nayo.
Amen
 
Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.

Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana ka vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.

Chanzo: Tanzania Daima

Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
Mungu ibariki CHADEMA [emoji1545]
 
yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana ka vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno
rejoice.png

Allah mbariki Mwenyekiti wetu mpendwa Ustaadh Abou Mbowe.
 
Nani anaweza kulinganishwa na Freeman Mbowe? Mtu ambaye alikuwa na uwezo wa kuishi bila bugdha, tena angetaka angeweza kuishi kwa anasa na starehe, lakini akayaacha yote, akachagua maisha ya mateso kwaajili ya mapenzi ya kweli kwa Taifa lake!! Wangapi wanaoliweza hilo? Wengi tumeshindwa. Mbowe ameliishi hilo.

Mungu wa haki na uhuru, kwa rehema zako, endelea kumlinda, kumbariki, kumwinua Mbowe na wengine wote wanaopigania na kupenda haki, bila ya kuangalia vyama vyao, maana wanapigania haki na ule uhuru wa kweli ambao Mungu alimwumba nao mwanadamu. Na wale wadidimizaji wa haki na uhuru wa kweli wazidi kudhaririki hata siku za uzee wao.

Shukrani kwa Ruto kuitambua nafasi ya Mbowe katika kupigania haki, uhuru na demokrasia ya kweli..
 
Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.

Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana ka vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.

Chanzo: Tanzania Daima

Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
sitoshangaa akipewa nafasi ya kusalimia umma wa kenya akisema ametumwa na rais samia kuja kumwakilisha. si unajua tena siasa zetu za east africa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom