Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,110
- 2,736
Katika kesi ja Jinai, ili mtuhumiwa apatikane na hatia, ni lazima apatikane na kosa "Pasipo Shaka" au kwa lugha nyingine, Beyond reasonable doubt. Hii ndio neno linalotumika kuthibitisha kwamba mtuhumiwa ahukumiwe kwenda Jela au Kufa!
Kila ishara inaonyesha hii kesi haina merit to affirm a conviction of guilt beyond reasonable doubt. The state witnesses are confused. Hawajitambui. Shahidi anaposema kwamba hakuona chopchote kuhusiana na ughaidi ina maana kwamba ana raise DOUBT!
Kiufupi, Shahidi wa leo Tarehe 19/01/2022 Amemaliza Kesi. Hakuna Kesi pale!
Tunakokwenda, serikali inaendelea kujidhalilisha, bora waifute hii kesi kwa maslahi ya nchi. Wanazidi kujianika na mambo ya siri ya nchi kama kuwa na Pegasus ambayo imelalamikiwa dunia nzima kwa kutumiwa vibaya kudukua mawasiliano ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na wana harakati.
Mbaya zaidi hii kesi inazidi kuichafua nchi kimataifa. Leo Tanzania inafahamika kuwa na ughaidi, kitu kibaya sana inapokuja swala la utalii. Zaidi ya yote ina mtengenezea Rais Samia dhana ya udikteta. Sipati picha itokee media kama Aljazeera, au BBC Stephen Sackur amuhoji mama Samia au kiongozi yeyote wa juu ndio watanzania watajua hawajui
For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately!
Kila ishara inaonyesha hii kesi haina merit to affirm a conviction of guilt beyond reasonable doubt. The state witnesses are confused. Hawajitambui. Shahidi anaposema kwamba hakuona chopchote kuhusiana na ughaidi ina maana kwamba ana raise DOUBT!
Kiufupi, Shahidi wa leo Tarehe 19/01/2022 Amemaliza Kesi. Hakuna Kesi pale!
Tunakokwenda, serikali inaendelea kujidhalilisha, bora waifute hii kesi kwa maslahi ya nchi. Wanazidi kujianika na mambo ya siri ya nchi kama kuwa na Pegasus ambayo imelalamikiwa dunia nzima kwa kutumiwa vibaya kudukua mawasiliano ya wapinzani wa kisiasa, waandishi wa habari na wana harakati.
Mbaya zaidi hii kesi inazidi kuichafua nchi kimataifa. Leo Tanzania inafahamika kuwa na ughaidi, kitu kibaya sana inapokuja swala la utalii. Zaidi ya yote ina mtengenezea Rais Samia dhana ya udikteta. Sipati picha itokee media kama Aljazeera, au BBC Stephen Sackur amuhoji mama Samia au kiongozi yeyote wa juu ndio watanzania watajua hawajui
For a matter of national security either the President or DPP should terminate this case immediately!