Huyo Mange alokua anauza picha za utupu za watanzania na kudhalilisha na kutukana watu matusi ya nguoni, Leo hii akawe ndo Rais una akili wwMange angekuwa rais tungefika mbali sana watanzania.Syo haka kajimama kakizenji kametuletea siasa za kutekana na kuuana tu
Anajipendekeza kwa dubwana CIA, linalobadilika sura kila baada ya miaka minne!Umbea kwa Mwanamke ni kama msomali na bunduki.
Hapo amekaa ameona hana pa kupiga umbea na majungu yake.
Akaamua apambane kufa kupona.
Maria account yake imezuiliwa kwa Tanzania haijafutwa , Mange account yake ilifutwa kabisa..View attachment 3659324
Maria sarungi hakuwahi kufanya content za kutoa connection za watu lakini hichi ndio kilichotokea.
Ishu ni kwamba meta wanapokea maelekezo wapo kifaida zaidi, hawataki kufungiwa hapa bongo kama X.
Umeshaona uzi wa britanicca ? Kashaweka tayari.Mange na mapungufu yake yote ila ni Mwamba
Bora mange kuliko huyu ambaye amemuua polepope na kwa sasa amemuua chimbiHuyo Mange alokua anauza picha za utupu za watanzania na kudhalilisha na kutukana watu matusi ya nguoni, Leo hii akawe ndo Rais una akili ww
Sheria za Meta amezifata, alizifata au alizikiuka?
Ndio, asante.Umeshaona uzi wa britanicca ? Kashaweka tayari.
Ningeandika kitu kuhusu huyo mange ila anyway
Naomba uni-tag 🙏🏾Ndio, asante.
Yule Dada ana akili nyingi sanaMange na mapungufu yake yote ila ni Mwamba
Huna cha kuandika ndo sababu "anyway"😅Ningeandika kitu kuhusu huyo mange ila anyway
Mange na mapungufu yake yote ila ni Mwamba
weewe sio mahakamaSheria za Meta amezifata, alizifata au alizikiuka?