King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,694
- 94,654
Kuna mengi ya kujifunza kupitia hii case law..kuna mambo yanatokea humu Duniani yanasikitisha kwa kweli.
Vipi Mzee Liundi bado yuko hai?
Agness je nae yuko hai?
Amefariki Jana
Kuna mengi ya kujifunza kupitia hii case law..kuna mambo yanatokea humu Duniani yanasikitisha kwa kweli.
Vipi Mzee Liundi bado yuko hai?
Agness je nae yuko hai?
Dah, ningekuwa judge hakika ningemuonea huyu mama huruma.