cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,772
- 73,514
Hii ni sebule yetu ya mtandaoni kwa Tanzania.
Mola awasimamie
Mola awasimamie
Siyo Police bali Mkuu wa nchi maana akiyasikia ni kiasi cha kusema stop that. Akikaa kimya wakati ana mamlaka ya mwisho, anayaruhusu yeye.Mungu yu pamoja nanyi. Police wetu ni tatizo. Utakuta hata wale wanaomtonyaga Magu aende bandarini "kukamata" magari yaliongizwa nchini kwa janjajanja, police wetu huwa wana hamu kubwa ya kuwajua ili wawatie ndani
Yote yanayofanyika yana mkono wa baba yako aliye Magogoni.Hii ni sebule yetu ya mtandaoni kwa Tanzania.
Mola awasimamie