Makebo na Munch wa Annabelle watu wangu, sisi wagalatia tulifurahia na kushabikia sana, Wateule na Marekani kuanzisha hii vita. Sasa matokeo😭😭😭😭😭😭Kesho kwa maana ya masaa machache yajayo
Kuna tetesi za wazi kwamba kesho ni kiama kingine cha ongezeko la bei kwenye mafuta
Mafuta Yaliyopanda bei ni yale yaliyokuwa nchini.. Ambayo kiuhqlisia hayakupaswa kupandishwa bei
Sasa mzigo mpya ni ule ambao umepitia misukosuko ya vita hata kama baadhi walikuwa wamezificha meli zao baharini wakisubiri hiki kipindi
Kuna hofu lita moja inaweza kufikia 5000+
Kama hilo likitokea tutegemee madhara na madhila mapya
Wengi watapaki nagari
Bidhaa zitapanda bei.. Infact kila kitu kitapanda bei
Je serikali imejiandaa na emergency rescue plan?
Je waajiri watawazingatia wafanyakazi wao kwenye ongezeko la mishahara?
Tutarajie mpaka kufikia mwisho wa wiki barabara nyingi kuwa nyeupe!
Kufa kufaana ..! Ni wakati wa kutamba kwa wenye magari na boda za solar na umeme!
Weka mpaka na kwenye madumu.. afu mzigo ushuke 😀tukajazeni full tank ndugu zangu
Mama mitano tenaKesho kwa maana ya masaa machache yajayo
Kuna tetesi za wazi kwamba kesho ni kiama kingine cha ongezeko la bei kwenye mafuta
Mafuta Yaliyopanda bei ni yale yaliyokuwa nchini.. Ambayo kiuhqlisia hayakupaswa kupandishwa bei
Sasa mzigo mpya ni ule ambao umepitia misukosuko ya vita hata kama baadhi walikuwa wamezificha meli zao baharini wakisubiri hiki kipindi
Kuna hofu lita moja inaweza kufikia 5000+
Kama hilo likitokea tutegemee madhara na madhila mapya
Wengi watapaki nagari
Bidhaa zitapanda bei.. Infact kila kitu kitapanda bei
Je serikali imejiandaa na emergency rescue plan?
Je waajiri watawazingatia wafanyakazi wao kwenye ongezeko la mishahara?
Tutarajie mpaka kufikia mwisho wa wiki barabara nyingi kuwa nyeupe!
Kufa kufaana ..! Ni wakati wa kutamba kwa wenye magari na boda za solar na umeme!
Mama mitano tenaView attachment 3584265
We mwenyewe umeikimbiaTungeweza kuendeleza ile tech ya kupaa na ungo tungepiga pesa sana😀
Ndio maana yule konda jioni hii kanikata nauli 1000 badala ya 800. Fresh tu, mpaka tuongee kiebraniaArusha nimeambiwa tqyari yamepanda, lita moja ni 5100, kwa diesel na 5300 kwa petrol, vituo vimeacha kuuza mafuta,wataanza kuuza saa sita usiku kwa bei mpya, mkanda unakatika sasa.
Au tuendeshe baiskeli?