Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,976
- 32,276
duh pole sana, lakin mbna hyo simple, kwan hapo kazini kwenu hakuna waislam wanaovaa hijabu? je kimaadili unaruhusiwa kuvaa miniskirk na mmeo? kha, me hakuna mtu wa kunipa masharti ya kuvaa kiajabu ajabu!
Wapo wavaao hjab tena mpaka na Nikabhu,
ila kama ukipenda kuvaa mavazi hayo,hakuna kubadili eti mara leo sketi kesho Hijab,NOOO!!!
Ndo hvohvo kila siku.