CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,872
- Thread starter
- #41
nakwambia kuna wadada wawili tena, ila marufuku hao wadada kumtengenezea, ni mimi tu! nimemchokaaaaaa!
je kama haupo, let say una dharura anafanyaje?
nakwambia kuna wadada wawili tena, ila marufuku hao wadada kumtengenezea, ni mimi tu! nimemchokaaaaaa!
Heshima mbele wana chitchat.
kwanza samahani maboss wote mliopo humu. .
hata kama wewe ni boss jaribu kuwa na huruma kwa wafanyakazi walio chini yako. utakuta ofisini kwa boss kuna dustbin lakin anatupa taka chini, hata kama kuna mfanya usafi sio hivyo. kingine unakuta cabinet ya files ipo ofcn lakin atampigia messenger hebu njoo unipe hili file. je huo ndo u-boss? jamani inakera sana.
Hapo ndipo penyewe.
CL Boss wetu ananishangaza sana.
Hataki tuvae Skirt zilizovuka chini ya magoti.
Anapenda aone tumevaa miniskirt tena zikiwa mapajani.
Nachukia sana,sina tu pakusemea.
khaaaaaa, wangu hataki atengenezewe coffee na yeyote zaidi yangu, kila siku hata kama nipo na meeting atapiga cm, niingie kwake nimtengenezee cofee, ananiboa kufa!
he hata kamamwanaume avae mini?
sivai, kwanza ninapotaka kuomba kazi lazima niangalie je hyo kampuni ama shirika linafuata maadili. siwezî fanya kazi katika shirika linalodhalilisha utu wa mtu. na sidhani kuna kampuni ama shirika lenye policy inayowataka wafanyakaz wake kuvaa nusu uchi kwa hapa tanzania!
we hujui kuvaa mini ni ku - advertise kipaji na kuwa motivated? lakini kama huna mguu kataa kabisa kuvaa mini, manake unaweza kuwa kero!
huyo ni mvivu, mchafu na limbukeni........
khaaaaaa, wangu hataki atengenezewe coffee na yeyote zaidi yangu, kila siku hata kama nipo na meeting atapiga cm, niingie kwake nimtengenezee cofee, ananiboa kufa!
hahahaaaa mkemwenza umenikumbusha miaka kadhaa nyuma, kuna bosi wangu mmoja alikuwa anataka nimtengenezee chai.... Siku moja asubuhi nikachukua job description nikamwambia anionyeshe wapi waliandika kukoroga chai...... I see nilikuwa mkali that day, toka siku hiyo kazi za kipuuzi zikakoma
my dear charminglady ntakupumzisha, mi nadhani ndo muda nikuanzishie kimradi uwe huru, sipendi boss anavokusumbua
poleni wadada.. Najua mnakutana na kero nyingi sana ila hata haya yote yatapita kwa hiyo msiogope
umeona eeh! ni upepo tu na nina imani utapita. . .