kero yako!

Shida iko wapi ?
Kama una mihela ya kifisadi !
Kuna mbungi gani ukam'baiya BabySharo hata ka'Stalet !
Wakati na yeye anakufurahisha! Sharo anajitoa kula Papai kama hana akili nzuri .

kwa kweli sharobaro kwangu hana nafasi....sijui kimvulana kinajidai modo...sijui ndio wanajiita fashonista....kwangu no....
napenda wanaume wagumu....yu no wora am saying......
 
kero yangu kubwa kuona mtu mzima kanyanyua mkono kwenye daladala kashika bomba, kava sleevles halafu hajashave, nasikiaga kuchefukwa!

duh,pole shost. bora kwa wanaume. basi ukute mdada anajidai du, ukicheck kwenye armpit unachefuka square!
 
Me kero yangu ni baadhi ya member humu kuwa wavivu wa kunipa like.inakeera sana wakati me huwa siwabanii. Hata reputation tu inakuwa kero? Bofya ile nyota unayoiona kushoto bhana!

mkuu nahic unanisema mie, jaman naomba unisamehe bure make natumia kamchina!
 
Kero yangu ni hawa wadada wanaovaa pichu na tyte zenye sponji! Ukiwachojoa wembambaa kama vijiti! Huwa wananiboa naamua tu kuwaacha uchi natembea zangu!
 
halafu hii page ni kama kuna jinsia imedominate!! ngoja ni act kama sijaona vile!!
 
Me kero yangu ni baadhi ya member humu kuwa wavivu wa kunipa like.inakeera sana wakati me huwa siwabanii. Hata reputation tu inakuwa kero? Bofya ile nyota unayoiona kushoto bhana!

let me tell something ''like'' comes natural no need to force.
 
Ndio usafiri wetu ulivyo bwana!

 
So sad binadamu huwa hatujui tunapokwenda!
Lakini unge msamehe tuu wangu!

 
Hahahahahahahahahahahahahah
inabidi utembee na topazi ukiona kanyanyua tu mkono unampa kama zawadi.

kero yangu kubwa kuona mtu mzima kanyanyua mkono kwenye daladala kashika bomba, kava sleevles halafu hajashave, nasikiaga kuchefukwa!
 
Hahahahahahahahahahahahha
wangu umeua duuuuuuuuuu!

Tabia hyo wanayo wale wanaojiona Mabaunsa uchwara.
Ukute katoka Gym afu vinywele venyewe basi,vyekunduuu na tuunjanounjano afu kipilipili.
Kama una mimba,lazima itoke.
BTW cacico Mzima?
 
Last edited by a moderator:
Masharti na vigezo kuzingatiwa!


Me kero yangu ni baadhi ya member humu kuwa wavivu wa kunipa like.inakeera sana wakati me huwa siwabanii. Hata reputation tu inakuwa kero? Bofya ile nyota unayoiona kushoto bhana!
 
Price discrimination
hahhahahahahahahahahahaha

Yani vinauzi sana.
Nguo zenyewe za kuazima mpaka Mkoko.
Halafu akija pale Yes! No! kibao.
Vinauzi sana hivi viakina Dimpoz na akina Bob Junior.
 
Me kero yangu ni baadhi ya member humu kuwa wavivu wa kunipa like.inakeera sana wakati me huwa siwabanii. Hata reputation tu inakuwa kero? Bofya ile nyota unayoiona kushoto bhana!
Arushaone kuanzia leo nitakuwa nakugongea like kila nikuonapo hapa jamvini, lol! i hope kero itapungua!!
 
Last edited by a moderator:
Kero yangu ni pale ninapoona barmaid anaaprochiwa na wanaume kibao, ila shida ipo kwa wale ambao wakisha2pia kidogo maji ya mende mambo yanabadilika na kutaka mahali pa kupoozea mik.a yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…