Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,317
Chinga One nawasalimu wana JF,
Baada ya Salam hizi napenda kutoa pongezi kwa Sumatra na Jeshi la Polisi Tanzania kwa jitihada wanazochukua kukabiliana na ongezeko la ajali barabarani na lakini pamoja na jitihada hizo imejitokeza kero ambayo abiria wengi wanailalamikia kutokana na Bus hizo kufungwa ving'amuzi ama vidhibiti mwendo vinavyolazmisha Gari zisitembee zaidi ya Spidi 80 ambayo kiuharisia kwa safari za Bus hiyo spidi ni ndogo mnooo.
Kwa sasa kusafiri mikoani imekuwa kama adhabu sehemu ambayo zamani ulikuwa unasafiri masaa 9 let us say Dar Iringa sasa hivi utasafiri masaa 15,inachosha mnoo yani kama unajambo lako unawahi kijijini kwenu sahau kabisa,nadhani kwa masafa ya Mbeya Dar au Dar Arusha siku hizi unaweza kusafiri saa 24,too much boring mazee,hata kama tunapambana kudhibiti ajari but sio.kwa namna hii.
Ushauri:Ni vyema wakaangalia upya swala hilo la Spidi 80 waweke hata 100 atleast mana safari za mikoani si lelemama.
Naomba niishie hapa kwa sasa.
Baada ya Salam hizi napenda kutoa pongezi kwa Sumatra na Jeshi la Polisi Tanzania kwa jitihada wanazochukua kukabiliana na ongezeko la ajali barabarani na lakini pamoja na jitihada hizo imejitokeza kero ambayo abiria wengi wanailalamikia kutokana na Bus hizo kufungwa ving'amuzi ama vidhibiti mwendo vinavyolazmisha Gari zisitembee zaidi ya Spidi 80 ambayo kiuharisia kwa safari za Bus hiyo spidi ni ndogo mnooo.
Kwa sasa kusafiri mikoani imekuwa kama adhabu sehemu ambayo zamani ulikuwa unasafiri masaa 9 let us say Dar Iringa sasa hivi utasafiri masaa 15,inachosha mnoo yani kama unajambo lako unawahi kijijini kwenu sahau kabisa,nadhani kwa masafa ya Mbeya Dar au Dar Arusha siku hizi unaweza kusafiri saa 24,too much boring mazee,hata kama tunapambana kudhibiti ajari but sio.kwa namna hii.
Ushauri:Ni vyema wakaangalia upya swala hilo la Spidi 80 waweke hata 100 atleast mana safari za mikoani si lelemama.
Naomba niishie hapa kwa sasa.