Kero ya Vidhibiti mwendo kwenye Mabasi ya Mikoani

Nadhani gari limetengenezwa kwa spidi zake kama trekta, basi na mengineyo, na ajali sio mpaka isababishwe na mwendo kasi, kuna uzembe, njia mbaya, kutofanya matengenezo ya kutosha na vingine Vingi, nadhani ni muda muafaka wa kuangalia suala hili kwa mapana yake, ifike hata spidi 100
 
Mkuu umeandika uzi, bila kufikiria mim nilipenda speed iwe 50 kabisa maana,kama ulishawahi kujigonga katika chuma cha gari sehemu yoyote ukayasikia maumivu usingeongea kuhusu mwendo wa gari.
Kiujmla huo speed 80 inatosha sana
 
Chinga One nawasalimu wana JF wenzangu kutokea ukimbizi Kenya Talk Count ya Madhare,bado najipanga kurudi rasmi nyumbani Jamii Forum ingawa bado nipo nipo huku ukimbizini.

Baada ya Salam hizi napenda kutoa pongezi kwa Sumatra na Jeshi la Polisi Tanzania kwa jitihada wanazochukua kukabiliana na ongezeko la ajali barabarani na lakini pamoja na jitihada hizo imejitokeza kero ambayo abiria wengi wanailalamikia kutokana na Bus hizo kufungwa ving'amuzi ama vidhibiti mwendo vinavyolazmisha Gari zisitembee zaidi ya Spidi 80 ambayo kiuharisia kwa safari za Bus hiyo spidi ni ndogo mnooo.

Kwa sasa kusafiri mikoani imekuwa kama adhabu sehemu ambayo zamani ulikuwa unasafiri masaa 9 let us say Dar Iringa sasa hivi utasafiri masaa 15,inachosha mnoo yani kama unajambo lako unawahi kijijini kwenu sahau kabisa,nadhani kwa masafa ya Mbeya Dar au Dar Arusha siku hizi unaweza kusafiri saa 24,too much boring mazee,hata kama tunapambana kudhibiti ajari but sio.kwa namna hii.

Ushauri:Ni vyema wakaangalia upya swala hilo la Spidi 80 waweke hata 100 atleast mana safari za mikoani si lelemama.

Naomba niishie hapa maana kengere ya msosi ishagonga hapa Kwenye Kambi ya wakimbizi KT na mimi nimeshakuwa Senior Villager so nimepewa jukumu la kuwaongoza new Villagers.


Dawa safari za ucku basi isafiri masaa 24. Kama nchi tuna amani kwann tuamue muda wa kusafiri? Nchi hii ya viwonder co ya majambazi
 
Mkuu umeandika uzi, bila kufikiria mim nilipenda speed iwe 50 kabisa maana,kama ulishawahi kujigonga katika chuma cha gari sehemu yoyote ukayasikia maumivu usingeongea kuhusu mwendo wa gari.
Kiujmla huo speed 80 inatosha sana
Acha ushamba
 
Mkuu umeandika uzi, bila kufikiria mim nilipenda speed iwe 50 kabisa maana,kama ulishawahi kujigonga katika chuma cha gari sehemu yoyote ukayasikia maumivu usingeongea kuhusu mwendo wa gari.
Kiujmla huo speed 80 inatosha sana
Ww inaonekana hata spidi 50 huijui. Ni vema kutochangia jambo usilokuwa na ufahamu nalo. Spidi hamsini itakuchukua takribani masaa 16 hadi 18 umbali wa Dar To Dodoma.
 
Chinga One nawasalimu wana JF wenzangu kutokea ukimbizi Kenya Talk Count ya Madhare,bado najipanga kurudi rasmi nyumbani Jamii Forum ingawa bado nipo nipo huku ukimbizini.

Baada ya Salam hizi napenda kutoa pongezi kwa Sumatra na Jeshi la Polisi Tanzania kwa jitihada wanazochukua kukabiliana na ongezeko la ajali barabarani na lakini pamoja na jitihada hizo imejitokeza kero ambayo abiria wengi wanailalamikia kutokana na Bus hizo kufungwa ving'amuzi ama vidhibiti mwendo vinavyolazmisha Gari zisitembee zaidi ya Spidi 80 ambayo kiuharisia kwa safari za Bus hiyo spidi ni ndogo mnooo.

Kwa sasa kusafiri mikoani imekuwa kama adhabu sehemu ambayo zamani ulikuwa unasafiri masaa 9 let us say Dar Iringa sasa hivi utasafiri masaa 15,inachosha mnoo yani kama unajambo lako unawahi kijijini kwenu sahau kabisa,nadhani kwa masafa ya Mbeya Dar au Dar Arusha siku hizi unaweza kusafiri saa 24,too much boring mazee,hata kama tunapambana kudhibiti ajari but sio.kwa namna hii.

Ushauri:Ni vyema wakaangalia upya swala hilo la Spidi 80 waweke hata 100 atleast mana safari za mikoani si lelemama.

Naomba niishie hapa maana kengere ya msosi ishagonga hapa Kwenye Kambi ya wakimbizi KT na mimi nimeshakuwa Senior Villager so nimepewa jukumu la kuwaongoza new Villagers.
Siku hizi Dar-Songea via masasi/tunduru unafika saa sita usiku,
Dar-Songea via Moro/Iringa unafika saa nane au hata kulala ukamalizia safari kesho yake
 
Ajali haisababishwi na mwendo kasi aswa kwa nchi zetu za afrika aswa tanzania mchawi mkubwa hapo ni barabara na miundo mbinu yake tuu. Mtazunguka kwa waganga wote.
Asante Mkuu,
Namimi naamini hivyo, mara nyingi Gari likiwa zima (of which mabasi mengi yako hivyo), miundo mbinu ya barabara iwe safi na madereva wawe makini suala la mwendo si tatizo.

Labda kama yupo mwenye ushahidi wa ki takwimu(empirical evidence) ya kuonyesha kuwa mwendo kasi pekee hupelekea ajali zaidi (kwaabasi ya abiria).
 
Asante Mkuu,
Namimi naamini hivyo, mara nyingi Gari likiwa zima (of which mabasi mengi yako hivyo), miundo mbinu ya barabara iwe safi na madereva wawe makini suala la mwendo si tatizo.

Labda kama yupo mwenye ushahidi wa ki takwimu(empirical evidence) ya kuonyesha kuwa mwendo kasi pekee hupelekea ajali zaidi (kwaabasi ya abiria).
Na ndio maana mabasi yote ya kisasa yanakuja na top speed ya 120 mpaka 160kph huku kwetu serikali imeshindwa majukumu yake ya kuboresha barabara na miundo mbinu, na badala yake dereva anaangushiwa lawama.
 
Wanatakiwa waboreshe barabara, hiyo spidi inaboa sana yaani Dar-Lindi ilikuwa masaa 6 siku hizi mnaenda masaa 8-9 yaani ni hovyo kabisa.
 
Kuna maeneo barabara inaruhusu kwenda angalau 100 KPH, sehemu kama Iringa walipotanua barabara wangeacha mabasi yakimbie kidogo.
 
Chinga One nawasalimu wana JF wenzangu kutokea ukimbizi Kenya Talk Count ya Madhare,bado najipanga kurudi rasmi nyumbani Jamii Forum ingawa bado nipo nipo huku ukimbizini.

Baada ya Salam hizi napenda kutoa pongezi kwa Sumatra na Jeshi la Polisi Tanzania kwa jitihada wanazochukua kukabiliana na ongezeko la ajali barabarani na lakini pamoja na jitihada hizo imejitokeza kero ambayo abiria wengi wanailalamikia kutokana na Bus hizo kufungwa ving'amuzi ama vidhibiti mwendo vinavyolazmisha Gari zisitembee zaidi ya Spidi 80 ambayo kiuharisia kwa safari za Bus hiyo spidi ni ndogo mnooo.

Kwa sasa kusafiri mikoani imekuwa kama adhabu sehemu ambayo zamani ulikuwa unasafiri masaa 9 let us say Dar Iringa sasa hivi utasafiri masaa 15,inachosha mnoo yani kama unajambo lako unawahi kijijini kwenu sahau kabisa,nadhani kwa masafa ya Mbeya Dar au Dar Arusha siku hizi unaweza kusafiri saa 24,too much boring mazee,hata kama tunapambana kudhibiti ajari but sio.kwa namna hii.

Ushauri:Ni vyema wakaangalia upya swala hilo la Spidi 80 waweke hata 100 atleast mana safari za mikoani si lelemama.

Naomba niishie hapa maana kengere ya msosi ishagonga hapa Kwenye Kambi ya wakimbizi KT na mimi nimeshakuwa Senior Villager so nimepewa jukumu la kuwaongoza new Villagers.


Sidhani kama ni mabasi yote yamefungwa hivyo ving'amuzi, kama yote yamefungwa basi kuna mengine yatakuwa ya watu wanene wasioguswa, ninasafiri mara nyingi na bus moja ya BM Moro - Moshi route, ikimaliza mpaka wa Tanga na Kilimanjaro speed yao ni beyond 100 KMPH
 
Back
Top Bottom