Nadhani gari limetengenezwa kwa spidi zake kama trekta, basi na mengineyo, na ajali sio mpaka isababishwe na mwendo kasi, kuna uzembe, njia mbaya, kutofanya matengenezo ya kutosha na vingine Vingi, nadhani ni muda muafaka wa kuangalia suala hili kwa mapana yake, ifike hata spidi 100