Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,922
- 33,370
wanasema bora uwende polepole lakini ufike salama
Lakini hii siyo njia pekee ya kumaliza tatizo, wangeshirikisha vichwa na wadau wote nchini kutafuta dawa ya ajali za mabasi, je ughaibuni wanakoendesha kwa 100++ KMPH na hatusikii ajali wanafanyaje, zingeenda team huko zikajifunze