wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,187
Wiki moja nyuma nilikuwa na safari ya kutoka Dar kwenda Shinyanga. Nimechukua gari mitaa ya Mwenge na kwenda kukata tiketi pale Shekilango.
Ndipo nikaangukia kwenye bus kampuni ya Ally’s star
Nauli VIP ni 120,000/=
Sisi kajamba nani ni 90-65k
Cha kushangaza niliambiwa muda wa reporting time ni saa 10 mpk 10:30 usiku na muda wa safari ni saa 11:00 Alfajiri.
Kweli siku ya safari ikafika aisee kutoka tuu Dar mpaka Morogoro huo mwendo sio wa kawaida bus inatupwa 100-120+
Kufika Singida ghafla tukawa bampa na bus kampuni ya Katarama gari imetupita kama tumesimama na 120+ yetu kuuliza wasema hiyo gari imetoka Dar saa 12:00 aisee gari zikaanza kufukuzana kufika Shinyanga ni kwenye saa 2:07 usiku gari zina overtake ovyo ovyo Mungu saidia
Wakati wa kurudi kutoka Shinyanga kuja Dar nikapanda bus (Katarama ya Mwanza) muda huo bus ya Shinyanga to dsm ni Ally’s ambayo ni 1 tuu kupata shida…
Kama kawaida hizi bus za Mwanza zikaanza kutimuana kuja kufika Kibaigwa nashangaa gari inataka kuipita mpaka gari iliyotokea Shinyanga yaani bus za Mwanza zinaipita gari ya Shinyanga
Ombi langu kwa Serikali wasisubiri mpaka vifo vitokee ndio waanze kutupa pole wakati wana uwezo wa kuzuia hii ishu mapema
NB:
Ndipo nikaangukia kwenye bus kampuni ya Ally’s star
Nauli VIP ni 120,000/=
Sisi kajamba nani ni 90-65k
Cha kushangaza niliambiwa muda wa reporting time ni saa 10 mpk 10:30 usiku na muda wa safari ni saa 11:00 Alfajiri.
Kweli siku ya safari ikafika aisee kutoka tuu Dar mpaka Morogoro huo mwendo sio wa kawaida bus inatupwa 100-120+
Kufika Singida ghafla tukawa bampa na bus kampuni ya Katarama gari imetupita kama tumesimama na 120+ yetu kuuliza wasema hiyo gari imetoka Dar saa 12:00 aisee gari zikaanza kufukuzana kufika Shinyanga ni kwenye saa 2:07 usiku gari zina overtake ovyo ovyo Mungu saidia
Wakati wa kurudi kutoka Shinyanga kuja Dar nikapanda bus (Katarama ya Mwanza) muda huo bus ya Shinyanga to dsm ni Ally’s ambayo ni 1 tuu kupata shida…
Kama kawaida hizi bus za Mwanza zikaanza kutimuana kuja kufika Kibaigwa nashangaa gari inataka kuipita mpaka gari iliyotokea Shinyanga yaani bus za Mwanza zinaipita gari ya Shinyanga
Ombi langu kwa Serikali wasisubiri mpaka vifo vitokee ndio waanze kutupa pole wakati wana uwezo wa kuzuia hii ishu mapema
NB: