Kero: Mdudu mla mbao juu ya dari dawa yake ni nini?

Kero: Mdudu mla mbao juu ya dari dawa yake ni nini?

SlimFit

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2016
Posts
2,283
Reaction score
3,544
Ndugu zangu habari ya usiku?

Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimekumbwa na wadudu wala mbao juu ya dari / bati kwa takribani miezi 6 sasa. Kero iliyopo sasa ni kwamba nyakati za usiku hao wadudu wanapiga kelele hatari wakiwa wanakula hizo mbao.

Nimejaribu mara kadhaa kupanda huko juu kuona kama nitawauwa kwa spoku kwenye vile vishimo lakini wapi nimeambulia patupu. Mwenye kujua namna ya kuwamaliza naomba njia tafadhali.

Nimeaambatanisha kelele ninayokumbana nayo hapo chini kwa msaada zaidi. Asanteni
 

Attachments

  • 20250812_050012.mp4
    66.8 MB
Sometimes wanaoweka dawa wanaoweka rangi ya ukili wakidanganya wateja kwamba ni dawa ya mbao.
Yaani hili ndio tatizo mkuu, any idea ya kupata suluhisho ya tatizo?
 
Ndugu zangu habari ya usiku?

Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimekumbwa na wadudu wala mbao juu ya dari / bati kwa takribani miezi 6 sasa. Kero iliyopo sasa ni kwamba nyakati za usiku hao wadudu wanapiga kelele hatari wakiwa wanakula hizo mbao.

Nimejaribu mara kadhaa kupanda huko juu kuona kama nitawauwa kwa spoku kwenye vile vishimo lakini wapi nimeambulia patupu. Mwenye kujua namna ya kuwamaliza naomba njia tafadhali.

Nimeaambatanisha kelele ninayokumbana nayo hapo chini kwa msaada zaidi. Asanteni
Paka oili chafu
 
Ndugu zangu habari ya usiku?

Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimekumbwa na wadudu wala mbao juu ya dari / bati kwa takribani miezi 6 sasa. Kero iliyopo sasa ni kwamba nyakati za usiku hao wadudu wanapiga kelele hatari wakiwa wanakula hizo mbao.

Nimejaribu mara kadhaa kupanda huko juu kuona kama nitawauwa kwa spoku kwenye vile vishimo lakini wapi nimeambulia patupu. Mwenye kujua namna ya kuwamaliza naomba njia tafadhali.

Nimeaambatanisha kelele ninayokumbana nayo hapo chini kwa msaada zaidi. Asanteni
Mkuu,kelele iko wapi?
 
Ndugu zangu habari ya usiku?

Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimekumbwa na wadudu wala mbao juu ya dari / bati kwa takribani miezi 6 sasa. Kero iliyopo sasa ni kwamba nyakati za usiku hao wadudu wanapiga kelele hatari wakiwa wanakula hizo mbao.

Nimejaribu mara kadhaa kupanda huko juu kuona kama nitawauwa kwa spoku kwenye vile vishimo lakini wapi nimeambulia patupu. Mwenye kujua namna ya kuwamaliza naomba njia tafadhali.

Nimeaambatanisha kelele ninayokumbana nayo hapo chini kwa msaada zaidi. Asanteni
Duduu killer
 
Ndugu zangu habari ya usiku?

Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimekumbwa na wadudu wala mbao juu ya dari / bati kwa takribani miezi 6 sasa. Kero iliyopo sasa ni kwamba nyakati za usiku hao wadudu wanapiga kelele hatari wakiwa wanakula hizo mbao.

Nimejaribu mara kadhaa kupanda huko juu kuona kama nitawauwa kwa spoku kwenye vile vishimo lakini wapi nimeambulia patupu. Mwenye kujua namna ya kuwamaliza naomba njia tafadhali.

Nimeaambatanisha kelele ninayokumbana nayo hapo chini kwa msaada zaidi. Asanteni
Mkuu,kelele iko wapi?
Mkuu tayari imekubali, ipo hapo juu mwanzo ilikua inaleta wenge
 

Attachments

  • 20250812_050012.mp4
    66.8 MB

Similar Discussions

Back
Top Bottom