Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

Sio sera ya kanisa kama ilivyo kwenu. Ninyi Kuna Aya kabisa za kuyaita ,kuyatengeneza na kuyatumia majini ( mashetani), Nimetembea karibu Tanzania nzima Kila nje ya nyumba zenu za ibada Kuna vijana wanauza madawa na kutoa tiba za kienyeji.Kwenu mtu akifuga majini (mashetani) anasifiwa kwa kuitwa mamwinyi au masharifu.Kwetu akikengeuka mtu na kujifunza majini au ushirikina akigundulika anafungiwa na kutengwa

Nitajie aya moja tu inayoelekeza madai yako haya.

1.kuita majini

2.kuyatengeneza

3.kuyafuga.
 
Pigo za kuitana majina jumuiya hadi mtu mzima anaitwa na kutikiwa zilikuwa zinanikera, mfano baba angu ni mkatoliki aendagi kanisani.....ipo wazi akifa atazikwa normal tu bila watu wa imani yake kumzika kiimani yake

Kiukweli inna Al hamdulillahi kuwa muislam, it wasn't easy, imagine hadi unaitwa jina duuh, aya wasabato wao mfano umehama eti uondoke na barua ya utambulisho ndio huko unakoenda wakupokee kama muumin wao, kwahiyo nikiwa nimehamishwa kikazi hadi jamii yote itangaziwe kanisani duuh

Though I was young ila nilikuwa naona haya mambo hayajakaa sawa(kwangu Mimi lakini eeh, wala si attack imani za watu jamani, naongelea kwa upande wangu)

Kwa wapentecoste ukiwa mgeni wakikubaini tu mgeni eti lazima ujitambulishe......

Now I've grown up na ni muislaam pia, napiga rakaa swala inaponikutia, sipo kwenye data base ya msikiti wowote, everything simplified, complication nizifanye Mimi tu, wala siitwi jina ni mwendo inna halala bayyinu wainna haram bayyinu na kila unachofanya basi jua unaifanyia nafsi yako na mwenyezi mungu si mwenye kuwadhulumu waja zake, in short toka nakuwa sikuwa napenda mambo ya kufuatiliana fuatiliana hadi kunipelekea kufanya mambo kwa riya na sio lillahi tena maana hadi waitwa jina daah hapana kwakweli.....Alhamdulillah
 
Yaani akasali sehemu Moja na Majin(a.k.a mashetani) wamwombe Mungu mmoja? Yaani hapo ndio unamdumbukiza shimoni kabisa
Uislam or Christianity hakuna dini ya muafrika hapo wote tunafuata mkumbo babu zetu waliabudi Chini ya miti mikubwa..mtafute bibi yako/babu yako atakuelekeza vzr or mzee wanakamo usijifanye unaijua sn kitu ilioletwa while u don’t
 
Pigo za kuitana majina jumuiya hadi mtu mzima anaitwa na kutikiwa zilikuwa zinanikera, mfano baba angu ni mkatoliki aendagi kanisani.....ipo wazi akifa atazikwa normal tu bila watu wa imani yake kumzika kiimani yake

Kiukweli inna Al hamdulillahi kuwa muislam, it wasn't easy, imagine hadi unaitwa jina duuh, aya wasabato wao mfano umehama eti uondoke na barua ya utambulisho ndio huko unakoenda wakupokee kama muumin wao, kwahiyo nikiwa nimehamishwa kikazi hadi jamii yote itangaziwe kanisani duuh

Though I was young ila nilikuwa naona haya mambo hayajakaa sawa(kwangu Mimi lakini eeh, wala si attack imani za watu jamani, naongelea kwa upande wangu)

Kwa wapentecoste ukiwa mgeni wakikubaini tu mgeni eti lazima ujitambulishe......

Now I've grown up na ni muislaam pia, napiga rakaa swala inaponikutia, sipo kwenye data base ya msikiti wowote, everything simplified, complication nizifanye Mimi tu, wala siitwi jina ni mwendo inna halala bayyinu wainna haram bayyinu na kila unachofanya basi jua unaifanyia nafsi yako na mwenyezi mungu si mwenye kuwadhulumu waja zake, in short toka nakuwa sikuwa napenda mambo ya kufuatiliana fuatiliana hadi kunipelekea kufanya mambo kwa riya na sio lillahi tena maana hadi waitwa jina daah hapana kwakweli.....Alhamdulillah
Hapa hatuongelei dini.
 
Tatizo wakristo wengi hamjui Nini maana sahihi ya kuishi katika usafi wa Mwili,roho na Matendo so ukiendekeza ngono ngono sio tu utaukosa uzima wa mielele bali hata mambo yako Mengi yatakwama
 
Mwambie huyo yaani akaabudu Mungu mmoja wakati Sisi tuna Miungu mitatu.hao wawili waliobaki nani atawaabudu??
Na wewe acha bangi zako, endeleeni kuabudunlile dude Lenu mnaloliita kibla, nadhani ndio Mungu wenu alipo maana nasikia huwa hatoki hapo ndio maana mkiswali mnaelekeza kichwa huko, mkifa mnazikwa kupelekwa huko lilipo, Mimi Bora nimwabudu Mungu mmoja katika nafasi tatu kuliko kuabudu mkuu wa maruhani
 
Hizo dini hasa walokole zina uhuni mwingi,,,, walokole ni watu wasiojielewa wanapenda kuongoza kama mapunda chochote wanachoambiwa na machungaji wao wa ajabu ajabu nao wanatekeleza pasipo kutumia akili ya kufikiri yapo yapo tu huko makanisani kama mazombi. Hayaoni, hayaelewi, hayasikii, ni viziwi, vipofu.
 
Kanisani wananiona jau sana, maana wakisema mgeukie mwenzako, au mwambie jirani yako hivi au vile mimi sigeuki waka kumbambia mtu chochote, na nikigeukiwa Mimi sitoi ushirikiano, hata hivyo ibada za kikatoliki ni nzuri sana, huu ujinga hamna isipo kua ile kupeana mkono wa amani ambayo ni sehemu ya liturigia.

Hata kupeana mkono napo ni shida,yakikutokea Kama ya huyo mleta mada je
 
Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.

Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.

Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.

Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika.

Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
Piga makofi mengi, hii mimi hifurahia kwani ukimpiga makofi shavu la kulia anstakiwa akugeuzie shavu la kushoto, hakuna kurudishiana wala kukasirika.
 
Back
Top Bottom