Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 6,843
- 12,604
Achukue huu ushauri wako aufanyie kazi naamini utamsaidiaIngekuwa Jambo la maana Kama ungekuwa unaambatana na familia yako Kila siku ya ibada na mkae sehemu moja ili mchungaji akisema msalimie wa pembeni yako ukutane na mkeo.