My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Wakati Rais wa Kenya akiongea na Taifa lake kila muda kuwapatia updates ya ugonjwa wa Corona.
Rais wetu Magufuli ame-relax wala haongei na Taifa wala kuweka strategies zozote za kudhibiti Corona, Rais yupo kimya, Waziri wa Afya alionyesha hofu mapema kuwa Tanzania haiwezi kupambana na Corona. Kama Mungu ataamua kutuacha basi hatuna namna.
Inasikitisha kwamba serikali haichukui hata hatua za kibinadamu kuliepuka hili balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wetu Magufuli ame-relax wala haongei na Taifa wala kuweka strategies zozote za kudhibiti Corona, Rais yupo kimya, Waziri wa Afya alionyesha hofu mapema kuwa Tanzania haiwezi kupambana na Corona. Kama Mungu ataamua kutuacha basi hatuna namna.
Inasikitisha kwamba serikali haichukui hata hatua za kibinadamu kuliepuka hili balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app