Kenya: Watu 279 wamedhurika baada ya chanjo ya covid19, mmoja afariki

Masharti kuzingatiwa
IMG_0736.jpg
 
Watu 279 wamepata madhara baada ya kuchoma chanjo ya COVID19 ya Astrazeneca huku watu 7 wakiwa na dalili za hatari na mmoja akiripotiwa kufariki.

Bodi ya Famasia na Sumu(PPB) ya Kenya imeanza uchunguzi wa kifo kilichoripotiwa na majibu yatatoka Ijumaa, Aprili 9, 2021.

Kaimu Mkurugenzi wa PPB, Dkt. Peter Ikamati amesema kifo kinaweza kuwa kimesababisha na mimba kutoka na sio lazima kiwe kimesababishwa na chanjo.

=====

The Pharmacy and Poisons Board (PPB) now says a probe has been launched after one person died after taking the COVID-19 AstraZeneca vaccine in Kenya.

However, according to Dr. Peter Ikamati, Deputy Director, PER, at the PPB, the death could have been caused by a miscarriage and not necessarily the vaccine.

He added that the Board will release a report on the incident, which happened in Uasin Gishu, on Friday.

“What we can say is it was a misreport, an expectant female got a miscarriage, it happened within period of being given vaccine. Miscarriage could have happened, it does not have to be linked to the shot,” he said on Wednesday.

“Because of the gravity of the matter, when a severe case is reported, PPB will follow up within 24hours.”

Dr. Ikamati further added that 279 people had adverse effects after taking the vaccine, with 7 others experiencing severe symptoms.

The Ministry of Health also said 370,000 Kenyans have so far been vaccinated against COVID-19, with Lamu recording the lowest number of people at 262.

“You can get vaccinated today and it does not mean you can’t suffer any other effects such as hypertension or diarrhea…If this happens after the vaccine, it may not mean such effects were caused by the vaccine,” said Dr. Collins Tabu, Head of Immunization, Ministry of Health.

Dr. Tabu stated that Kenya is projected to spend more than Ksh.36 billion to deliver the COVID-19 AstraZeneca vaccine.
Kenyans are jokers
 
Waliochanjwa kwa ujumla ni 370,000. Hakuna anayelazimishwa chanjo, leteni chanjo wanaotaka wapate. Muhimu kuzingatia sheria na masharti yake hasa ya utunzaji.
 
Lumumba ndio maana tunawaita Ma ZERO brain yaani haujaelewa kabisa logic ya swali langu.
Wewe unataka tuangalie walichanjwa na hawajapata madhara ili tupuuze hao wachache ambao wamepata madhara,maana huo ndio utetezi wenu kwamba watu wengi wamechanjwa na hawajapata madhara hivyo mnahalalisha kuwa hizo chanjo hazina shida lakini uhalisia unakataa.
 
Waliochanjwa kwa ujumla ni 370,000. Hakuna anayelazimishwa chanjo, leteni chanjo wanaotaka wapate. Muhimu kuzingatia sheria na masharti yake hasa ya utunzaji.
Hoja ni kwamba tunaambiwa hizo chanjo ni salama na ndio maana hao watu wakakubali kuchanjwa sasa haya yanayoibuka yanatakiwa yatolewe majibu na sio kusema hawajalazimishwa. Huko Saudia ili uende kuhiji unalazimishwa chanjo kama hutaki hauendi.
 
Tupate chanjo za Pzifer au Moderna. AstraZeneca imekuwa na habari zisizo nzuri karibu nchi zote.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopo, kwa chanjo ambazo zimegundulika hadi leo, Astrazeneca ndio most affordable. Hivyo, kwa nchi maskini hii ndo preference yao kwa mass immunisation.
 
Mimi na wenzangu wanaozitaka, siko mwenyewe. Nyie ambao hamzitaki muendelee kupiga nyungu na kula malimao tu ila chonde chonde hamtapata mitungi ya oksijeni tena baada ya chanjo kusambazwa.
Upate wewe hapo, usitujumuishe.
 
Wakishamaliza kuchanja watu wao huko Ulaya na Marekani hata hizo nyingine zitakuwa rahisi tu kwa sababu demand itapungua.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopo, kwa chanjo ambazo zimegundulika hadi leo, Astrazeneca ndio most affordable. Hivyo, kwa nchi maskini hii ndo preference yao kwa mass immunisation.
 
Mimi na wenzangu wanaozitaka, siko mwenyewe. Nyie ambao hamzitaki muendelee kupiga nyungu na kula malimao tu ila chonde chonde hamtapata mitungi ya oksijeni tena baada ya chanjo kusambazwa.
Kwani sasa hivi watu wanagombea mitungi ya oksijeni?
 
Wewe unataka tuangalie walichanjwa na hawajapata madhara ili tupuuze hao wachache ambao wamepata madhara,maana huo ndio utetezi wenu kwamba watu wengi wamechanjwa na hawajapata madhara hivyo mnahalalisha kuwa hizo chanjo hazina shida lakini uhalisia unakataa.

Hata ALU ,fansida ,quinine baadhi ya watu zinawaletea madhara ni hivyo hivyo hata Astrazeneca kwamba baadhi ya watu itawapa madhara ndio maana nikataka uweke idadi ya waliochanjwa ili kuweza kujua % ya athari isije ikawa kama takwimu za ulaya/US waliochanjwa zaidi ya 15m ila waliothirika ni 45 tu.
 
Back
Top Bottom