Kenya: Watu 279 wamedhurika baada ya chanjo ya covid19, mmoja afariki

Hata ALU ,fansida ,quinine baadhi ya watu zinawaletea madhara ni hivyo hivyo hata Astrazeneca kwamba baadhi ya watu itawapa madhara ndio maana nikataka uweke idadi ya waliochanjwa ili kuweza kujua % ya athari isije ikawa kama takwimu za ulaya/US waliochanjwa zaidi ya 15m ila waliothirika ni 45 tu.
Mkuu chanjo za corona zipo aina tofauti lakini sasa kwanini mara zote ukisikia shida kwenye chanjo basi ni Astrazeneca?
 
Watu 279 wamepata madhara baada ya kuchoma chanjo ya COVID19 ya Astrazeneca huku watu 7 wakiwa na dalili za hatari na mmoja akiripotiwa kufariki.

Bodi ya Famasia na Sumu(PPB) ya Kenya imeanza uchunguzi wa kifo kilichoripotiwa na majibu yatatoka Ijumaa, Aprili 9, 2021.

Kaimu Mkurugenzi wa PPB, Dkt. Peter Ikamati amesema kifo kinaweza kuwa kimesababisha na mimba kutoka na sio lazima kiwe kimesababishwa na chanjo.

=====

The Pharmacy and Poisons Board (PPB) now says a probe has been launched after one person died after taking the COVID-19 AstraZeneca vaccine in Kenya.

However, according to Dr. Peter Ikamati, Deputy Director, PER, at the PPB, the death could have been caused by a miscarriage and not necessarily the vaccine.

He added that the Board will release a report on the incident, which happened in Uasin Gishu, on Friday.

“What we can say is it was a misreport, an expectant female got a miscarriage, it happened within period of being given vaccine. Miscarriage could have happened, it does not have to be linked to the shot,” he said on Wednesday.

“Because of the gravity of the matter, when a severe case is reported, PPB will follow up within 24hours.”

Dr. Ikamati further added that 279 people had adverse effects after taking the vaccine, with 7 others experiencing severe symptoms.

The Ministry of Health also said 370,000 Kenyans have so far been vaccinated against COVID-19, with Lamu recording the lowest number of people at 262.

“You can get vaccinated today and it does not mean you can’t suffer any other effects such as hypertension or diarrhea…If this happens after the vaccine, it may not mean such effects were caused by the vaccine,” said Dr. Collins Tabu, Head of Immunization, Ministry of Health.

Dr. Tabu stated that Kenya is projected to spend more than Ksh.36 billion to deliver the COVID-19 AstraZeneca vaccine.
Tony254
 
Ukijiona wewe ni rasta usikimbilie kunyolewa ili uonekane mzuri kama mwenzako, maana saa ukikatwa sikio kinyozi hatoyahisi maumivu yako.
 
Hehehe mumekalia kama fisi kusubiri kwa hamu sana ili mhalalishe ujuha aliowafanyia JPM, lakini bado mtasubiri sana, naona mnapishana kufungua nyuzi haya soma na unitag kwa huu pia Kenya: 279 waliopata madhara baada ya kupata astrazeneca, sasa wapo katika hali ya kawaida


Nani juha kati yetu na nyie???---- hiyo chanjo ni mRNA (messenger RNA), ikiingia mwilini inapeleka command kwenye Genes na inaweza kubadili kabisa Genetic codes zenu na madhara sio hayo tu mliyopata kwa huo muda mfupi (temporary side effects), madhara (permanent adverse effects) yanaweza kutokea huko mbeleni kwa watoto na wajukuu zenu pale mtakapo wazaa wakiwa Majuha mara mbili yenu (2× more idiots than you parents).

Kumbuka Astrazeca iliyoletwa Kenya yawezekana sio ile iliyotumika Ulaya na Marekani Mabeberu ni watu wa hovyo hawatupendi sisi watu weusi, mnenunua sumu ili mfe kwa ujuha wenu, (the poison for sale).

Chanjo bora za Corona so far ni Sinovac na Sputnik.
 
Hivi hizi chanjo tunaletewa Afrika zina ubora sawa na zile wanazopewa kule US na UK!!!
 
Hivi hizi chanjo tunaletewa Afrika zina ubora sawa na zile wanazopewa kule US na UK!!!


Muulize MK254 analo jibu kwani huko kwao Kenya wameanza kudungwa sumu fulani wakidai ni chanjo ya Covid 19 iliyowaendesha kishenzi kutokana na madhara yake.
 
Nani juha kati yetu na nyie???---- hiyo chanjo ni mRNA (messenger RNA), ikiingia mwilini inapeleka command kwenye Genes na inaweza kubadili kabisa Genetic codes zenu na madhara sio hayo tu mliyopata kwa huo muda mfupi (temporary side effects), madhara (permanent adverse effects) yanaweza kutokea huko mbeleni kwa watoto na wajukuu zenu pale mtakapo wazaa wakiwa Majuha mara mbili yenu (2× more idiots than you parents).

Kumbuka Astrazeca iliyoletwa Kenya yawezekana sio ile iliyotumika Ulaya na Marekani Mabeberu ni watu wa hovyo hawatupendi sisi watu weusi, mnenunua sumu ili mfe kwa ujuha wenu, (the poison for sale).

Chanjo bora za Corona so far ni Sinovac na Sputnik.

Hizi nadharia za kijinga umekaririshwa na nani, dunia mpaka sasa wamechanjwa mamilioni ya watu, tena wengi waliokuzidi elimu mara 1,000
Huo ukaidi wenu ndio umesababisha muwe taifa la pili duniani kumpoteza rais baada ya yule mkaidi wa Burundi ambaye naye aliiga ujuha wenu yakamkuta.
 
Hata hizo nyingine zina side effect possibly Astrazeneca ndio imeuzwa sana compare na hizo nyingine.
Kwahiyo kwa sababu Astrazeneca imeuzwa sana ndio inafanya tusisikie malalamiko ya side effects za hizo chanjo zengine?

Halafu unasema hata hizo zengine zina side effects lakini hapo hapo watu wakilalamika kuganda kwa damu baada ya kutumia Astrazeneca mnakataa hazigandishi damu,sasa hizo side effects mnazosema ni zipi hebu niambie Astrazeneca side effects zake ni zipi?
 
Hoja ni kwamba tunaambiwa hizo chanjo ni salama na ndio maana hao watu wakakubali kuchanjwa sasa haya yanayoibuka yanatakiwa yatolewe majibu na sio kusema hawajalazimishwa. Huko Saudia ili uende kuhiji unalazimishwa chanjo kama hutaki hauendi.
Utunzaji wa chanjo ni mgumu inachangia kuzifanya ziharibike haraka. Na vile zimewahishwa lazima ziwe na side effects kubwa kidogo.

Dawa za insulin nazo zinaua, kwahiyo wenye kisaukari waache kuzitumia? ARVs zina side effects kwahiyo wenye HIV+ wasitumie. Madhara ya kutochanjwa kwa wenye umri mkubwa ni makubwa zaidi kuliko kifo cha mtu mmoja kwa side effects kati ya 370,000.

Kwanza hii chanjo wanapata wengi watu wazima na wagonjwa wengine, probability ya kuwa afya mgogoro ni kubwa hivo dawa yoyote kali lazima iwasumbue. Hilo la Saudi Arabia kulazimisha sikulipokea vema.
 
Utunzaji wa chanjo ni mgumu inachangia kuzifanya ziharibike haraka. Na vile zimewahishwa lazima ziwe na side effects kubwa kidogo.

Dawa za insulin nazo zinaua, kwahiyo wenye kisaukari waache kuzitumia? ARVs zina side effects kwahiyo wenye HIV+ wasitumie. Madhara ya kutochanjwa kwa wenye umri mkubwa ni makubwa zaidi kuliko kifo cha mtu mmoja kwa side effects kati ya 370,000.

Kwanza hii chanjo wanapata wengi watu wazima na wagonjwa wengine, probability ya kuwa afya mgogoro ni kubwa hivo dawa yoyote kali lazima iwasumbue. Hilo la Saudi Arabia kulazimisha sikulipokea vema.
Unajua tatizo hapa mnakubali kiujumla kuwa chanjo huwa zina side effects na kulinganisha kuwa sawa na madawa yalivyo na side effects ila hapo hapo mnakataa malalamiko ya madhara wanayopata watu baada ya kutumia hizo chanjo,mfano suala la baadhi ya watu kuganda damu baada ya kutumia Astrazeneca mnalikataa na kusema watakuwa wameganda damu kwa sababu zengine kwamba mbona mamilioni ya watu wamechanjwa na hawajaganda damu na kuendelea kusema kuwa hizo chanjo hazina shida, Hata hili la Kenya pia bado mnasema watakuwa wamedhurika kwa matatizo mengine ila sio chanjo.

Sasa hapo mie nashindwa kuwaelewa.
 
Hizi nadharia za kijinga umekaririshwa na nani, dunia mpaka sasa wamechanjwa mamilioni ya watu, tena wengi waliokuzidi elimu mara 1,000
Huo ukaidi wenu ndio umesababisha muwe taifa la pili duniani kumpoteza rais baada ya yule mkaidi wa Burundi ambaye naye aliiga ujuha wenu yakamkuta.

IMG_1822.jpg

Vip Boss umesha sign ? Tunawaonea huruma sana maskini, mko na shida mingi everywhere , wacha uhuru awanyooshe mbwa nyie
 
Back
Top Bottom