UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Mkuu chanjo za corona zipo aina tofauti lakini sasa kwanini mara zote ukisikia shida kwenye chanjo basi ni Astrazeneca?Hata ALU ,fansida ,quinine baadhi ya watu zinawaletea madhara ni hivyo hivyo hata Astrazeneca kwamba baadhi ya watu itawapa madhara ndio maana nikataka uweke idadi ya waliochanjwa ili kuweza kujua % ya athari isije ikawa kama takwimu za ulaya/US waliochanjwa zaidi ya 15m ila waliothirika ni 45 tu.