Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Jana tume ya mishahara [ya watumishi wa umma] ya Kenya imetangaza viwango vipya vya mishahara ya viongozi wa umma.
Viwango hivyo vipya ni vidogo kidogo kulinganisha na viwango vya sasa.
Kwa hiyo, rais mpya ajaye baada ya uchaguzi wao wa mwezi ujao ataanza kupokea huo mshahara mpya.
Na kama Uhuru Kenyata akishinda basi ina maana mshahara ataopokea kuanzia mwezi Septemba utakuwa ni pungufu kuliko apatao sasa.
Tofauti na huku kwetu ambapo kuna wapumbavu ukiulizia mshahara wa rais wanakwambia 'mshahara wa mtu ni siri'.
Viwango hivyo vipya ni vidogo kidogo kulinganisha na viwango vya sasa.
Kwa hiyo, rais mpya ajaye baada ya uchaguzi wao wa mwezi ujao ataanza kupokea huo mshahara mpya.
Na kama Uhuru Kenyata akishinda basi ina maana mshahara ataopokea kuanzia mwezi Septemba utakuwa ni pungufu kuliko apatao sasa.
Tofauti na huku kwetu ambapo kuna wapumbavu ukiulizia mshahara wa rais wanakwambia 'mshahara wa mtu ni siri'.