Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,029
Enzi ya uhai wake, hayati Magufuli aliwahi kutuambia kuwa analipwa shilingi milioni 9 kwa mwezi na akirudi toka mapumzikoni Chato atatuonyesha hati yake ya mshahara (salary slip).
Bahati mbaya mpaka anaingia kaburini hakuwahi kutuonyesha hiyo salary slip yake.
Je, ni kweli mshahara wa Rais ni milioni 9?
Bahati mbaya mpaka anaingia kaburini hakuwahi kutuonyesha hiyo salary slip yake.
Je, ni kweli mshahara wa Rais ni milioni 9?