Bibi kizee ameona kule haitoonekana na wengi akaamua ailete na huku 😂Nilipita jukwaa la Kenya asubuhi sana nikakuta hii mada, ikiwa na views 136, haina likes wala komenti.
Huyu aliyefuatia kaanzisha mada same like ikaungwa na ile ya hadhuhuri but nothing again.
Ngoja tuone.
Imesuswa na bado ipo Kenya News and Politics.Bibi kizee ameona kule haitoonekana na wengi akaamua ailete na huku 😂
😂😂 Pia tukoment sana ili uzi upate uhaiImesuswa na bado ipo Kenya News and Politics.
Ila ngoja tui_update kwa kukomenti ili ionekane, coz watu wameisusa hii thread 😁😀😅!
Hivi yule jamaa anajiita yesu wa tongolani eti yuko wapi au na yeye kasilimu?. 😅😂😂 Pia tukoment sana ili uzi upate uhai.
Kila Muislam ni ndugu ya Muislam mwenzake, kumbuka hilo na huna haja ya kutukumbusha wajib wetu.Mambo ya donation 😂😂😂 Ww bibi kizee em tuma pesa huko hayo mapicha picha yako hayawasaidii kitu zaidi ya pesa yako.
Uzuri ni kuwa ipo hapa na wengi wamei copy na ku forward kwenye mefia zingine.Nilipita jukwaa la Kenya asubuhi sana nikakuta hii mada, ikiwa na views 136, haina likes wala komenti.
Huyu aliyefuatia kaanzisha mada same like ikaungwa na ile ya adhuhuri but nothing again.
Ngoja tuone.
Kama kuna wanaotoka kwenye Uislamu bc pia huko ni gizaniKila Muislam ni ndugubya Muislam mwenzake, kumbuka hilo na huna jabya kutukumbusha wajib wetu.
Wewe unangoja nini kutoka kizani?