ERTUGRUL BEY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 11,593
- 21,634
Kwa hapo hata mimi wamenikera sana kwakweliIngekuwa wanaenda kufanya vandalism kwenye benki au biashara zinazomilikiwa na hao viongoz waliowaibia tungewaona wanafanya jambo jema, lakini kwenda kuiba kwa duka la mtoto wa maskini aliyehangaika kutafuta mtaji kwa maumivu afungue duka ni ujinga tu
Hawa wengi wao ni vijana wahuni tu