Dah!!!! mimi bado nashangaa kama account ya pamoja imeanzishwa halafu hakuna lilifonyika wakati Tanganyika ndio wanatakiwa pia waifanyie kazi wakati wazanzibar washakamilisha halafu anatokea ----- eti tunawabeba wazanzibar kubeba my ass.
Pia kama anahisi tunabebwa peleka hoja bungeni kwamba muungano basi sisi tulishaukataa na tunataka muungano washirikisho ambao tutashirikiana baadhi ya mambo tuu na mipaka lakini hamna mtanganyika anothubutu kuifufua tanganyika.
Na zaidi amsikilize mheshmiwa Tundu Lissu kwenye hoja ya wanzanzibar alivyochambua rejea mikutano ya ukawa pemba na zanzibar na vilevile bungeni wakati anawasilisha hoja halafu utajua kwamba tunabebwa ama tunabeba.In essence,hapo ndo utajua tofauti ya WAJINGA NA WASOMI.
Watanganyika ni watu wa hovyo tu ata usiumize kichwa chako angalia kila upande ulowazunguka i mean majirani zao hawafahamiani nao Kenya, Malawi , labda kidogo uganda but Rwanda ..hii mijitu ya bure kabisa huwa tunawaita watwana hawa. pumbav waheed
Huo tulishazoea anapaswa kupimwa akili.
Watanganyika ni watu wa hovyo tu ata usiumize kichwa chako angalia kila upande ulowazunguka i mean majirani zao hawafahamiani nao Kenya, Malawi , labda kidogo uganda but Rwanda ..hii mijitu ya bure kabisa huwa tunawaita watwana hawa. pumbav waheed
Well said.. Janja ya nyani tumeigundua. Ila hawa jamaa wameshatufanya mandondocha wa kutosha. Watanganyika enough is enough. Hatuhitija huu MuunganoHapa ndo naona ujanja wa Wazanzibari kila siku wanataka Zanzibar huru kumbe wazushi tu wanataka kutufunga macho ili tuendelee kuwabeba.Ukiwapa makavu kama kessy wanakuja juu.Nilitegemea Wazanzibar wangetumia ule mwanya wa wao kudai wa kinachoitwa Zanzibar huru.Badala yake wanaleta hadithi za udugu.Mi naona wazanzibar wametuzidi janja na kila tukistua janja yao wanakuja juu.Big up Kessy
tatizo wewe ni mr.zero ni sawa na mtoto mchanga
Usimsingizie Mwenyezi MUNGU kwenye hili Mkuu! Alitupatia uwezo wa KUTAMBUA MABAYA NA MEMA.....Tafakari!
Kama hawachangii muungano si maaana yake muungano ulikwisha vunjwa miaka hiyo, kinachofanyika ni kuwaibia waTg mpaka watakapokataa kuibiwa; hongera Zenji
mkuu zako umepima?
Keissy yuko sahihi, wazanzibar wanabebwa sana na Tanganyika
Wabunge wa Zanzibar wanachangia hoja zaidi ya hao wa Bara ambao kila kukicha wanaonekana wamelala tena wengine wakisha weka saini ya mahudhurio wanarudi mahotelini kujirusha na mabinti. Huyu Mjumbe Kessy ni jinga la wajinga kwa sababu bunge letu ni bunge la JMT sio bunge la Tanganyika. Hao wajumbe 83 wanawakilisha majimbo yao sawa kabisa na wabunge 300 wetu ambao kwa upumbavu wetu wameenda pale kuchuma na kugombea nafasi za kuingia mabaraza ya Bunge kuvuta Posho. Kama kuna mambo ya tanganyika mabyo wabunge wa Zanzibar hawatakiwi kujadili basi na uiundwe Congress yenye wajumbe wake toka pande mbili ili kupitia yale ya Muungano, kisha hilo bunge la Tanganyika libakie na magarasha wake.
Ama kweli ni taabu kubwa sana akili ndogo kuongoza akili kubwa.
Wabunge wa Zanzibar wanachangia hoja zaidi ya hao wa Bara ambao kila kukicha wanaonekana wamelala tena wengine wakisha weka saini ya mahudhurio wanarudi mahotelini kujirusha na mabinti. Huyu Mjumbe Kessy ni jinga la wajinga kwa sababu bunge letu ni bunge la JMT sio bunge la Tanganyika. Hao wajumbe 83 wanawakilisha majimbo yao sawa kabisa na wabunge 300 wetu ambao kwa upumbavu wetu wameenda pale kuchuma na kugombea nafasi za kuingia mabaraza ya Bunge kuvuta Posho. Kama kuna mambo ya Tanganyika ambayo wabunge wa Zanzibar hawatakiwi kujadili basi na uiundwe Congress yenye wajumbe wake toka pande mbili ili kupitia yale ya Muungano, kisha hilo bunge la Tanganyika libakie na magarasha wake.
Akumbuke tu kwamba Katiba inayojadiliwa ni ya Tanzania hivyo kila kinachpitishwa na bunge hilo ni kwa ajili ya Tanzania sio Tanganyika, Sheria za Tanganyika ndizo hutumika kama sheria mama. hivyo ni wao Wazanzibar wamefungwa na matakwa ya Tanganyika kuingia moja kwa moja kuwa sheria mama na ndio maana wanaitaka kuwepo serikali ya Tanganyika ili sheria mama ya JMT iwe tofauti na ile ya Tanganyika.
Ama kweli ni taabu kubwa sana akili ndogo kuongoza akili kubwa.
Nchi ngumu hii hasa kwa sisi wanaume wa tanganyika,kipata cha laki mbli hapo inabidi kuhudumia wazanzibar na familia yako tutafika kweli..!!?