mb on
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 1,821
- 797
Ama kweli ukistaajabu ya musa!
Leo ni wewe unawaunga mkono S3!! Masaa machache kwenye ule uzi wa Pasco umesema S2. Leo unashauri bunge la tatu kama Warioba, mkuu ukweli ukitimia... Ahsante Keissy unatoa majoka mapangoni.
Mkandara, kwanini hawana kazi na maana yoyote katika bunge kama anavyosema Keissy!
1. Hawana mchango katika wa fedha(siyo hadithi za Mkuu wa majeshi) katik posho na mishara yao.
Pesa hizo zinatoka hazina Dar ambako wao, kwa mujibu wa Ndulu majuzi tu hawana mchango hata senti tano.
Wanachukua milioni 15 kwa mwezi, wanaenda kutibiwa na kila mafao ikiwa ni pesa za Tanganyika kwa jina la Tanzania.
Jumla ya mishahara yao ni Bilioni 126. I mean watu 84 wasio na kazi wanalipwa kiasi hicho! Real
2. Wamekuja kutetea masilahi ya znz. Ndio maana wana 2/3. Hivyo wanapaswa kulipwa na SMZ.
Hawapaswi kulipwa na JMT kwasababu tunajua wazi hawana mchango katika hazina wala TRA.
TRA inakusanya znz na kuacha huko, hizi wanazobeba na kupora ni za TRA Tanganyika, ambayo kwa uhuni na wizi wanaita TRA Tanzania.
3. Hawana la kusema kwasababu hizi
a) Tukiongelea NECTA, wao wameondoa wana baraza lao. Hapo Dodoma hawana haki ya kuongelea mambo yetu ya elimu
b) TBS, wameondoa katika muungano, iliyobaki ni yetu wanazungumzia nini kama si umbea tu unaowasumbua
c) Mafuta na gesi walikimbia kuondoa, leo wamegundua hata pipa moja halitoshi wanakuja kuongelea isiyo wahusu
d) Waliondoa bandari ili iwe huru huko znz, leo inapokea meli 31/2 na kwa mwezi. Dodoma wanajadili bandari zetu ili iweje
Orodha ni ndefu sana na inatia kinyaa jinsi wazanzibar wanavyopora Tanganyika kwa jina la Tanzania.
Mbunge Keissy ana uchungu, maana Bilioni 126 za mishahara tu ya hao watalii wanaokuja Dodoma inatosha kumaliza tatizo la barabara na maji mkoani Sumbawanga.
Leo wananchi wa Nkasi wanalipa kodi kwenda kulipa mishahara ya watu 84 wanokuja kutetea nchi yao.
Hawa wanapaswa walipwe na SMZ ili wakija kucheza drafti wawajibike huko kwao, si kuja kulala na kuongelea mambo yasiyowahusu. Umbea tu halafu wanalipwa milioni 15/mwezi, wizi mkubwa huu.
Ngoja niwape maudhi zaidi ya hawa watalii wa Unguja na Pemba pale Dodoma.
Nchi yao ina watu 1.2M sawa na idadi ya watu wa jimbo la Ubungo au Ilala.
Wabunge wao wanawakilisha hadi watu 5,000 sawa na kata ya makurumla hapa Dar.
Mfuko wa jimbo, mbunge wa Kinodnoni, Kawe, Mpanda, Mgumu na Muheza wenye idadi ya watu si chini ya 500,000( laki tano) wanapewa pesa za mfuko wa jimbo sawa na mbunge wa znz mwenye watu (5,000) elfu tano.
Yaani mbunge wa Temeke anapewa milioni 30 sawa na wa makunduchi ambaye watu wake ni 3,000-5,000.
Kwa wale msioelewa, chuko kikuu cha Dar es salaam kina watu wengi kulliko jimbo moja la mtalii wa znz
Hizo pesa za jimbo zinatoka kodi za Watanganyika. Wao wamekataa TRA iisilete pesa bara.
Hizo zinazokusanywa bara ndizo zinaenda hazina kuwalipa hawa watalii.
Yaani chao kibaki huko, chetu ndicho tugawane kwa jina la Tanzania.
Ndio maana hawataki kusikia Tanganyika, maana Tanganyika haitatoa nafasi za wizi wa mchana namna hii. Uporaji tu
Tazama, ndani ya Baraza la wawakilishi, wao wana wajumbe 50 kwasababu hawana pesa za kulipa zaidi ya hapo.
Watalii waokuja Dodoma ni 84 kwasababu SMZ haina shida ya kuwalipa, hilo ni zigo la Watanganyika, na tunawalipa.
Huu wizi Watanganyika na hasa wabunge wa CCM wanaufumbia macho.
Kw uhalisia wabunge( watalii kwa maana halisi) wanapaswa kuja Dodoma si kwa zaidi ya siku 5.
Wasikilize bajeti ya ulinzi na usalama, mambo ya ndani na nje, naa baada ya hapo waondoke maana mengine yote wameshayakataa yasiwe ya muungano, wameyaondoa.
Hata kusikiliza ni favor maana hawajui bajeti ya wizara hizo. ZNZ haina mchango hata senti tano kumbuka.
cc Mkandara Bongolander Pasco MJINI CHAI Alinda Mchambuzi
wewe ndio msomi unaetegemea wa wadanganyika ? ati TRA wanakusanya znz na kuziacha huko huko hiyo kazi ya kanisa wanamfanyia nani? kwani ZRB wanakazi gani. akili yako na ya kessy haina tofauti