![]()
'''Komba alikwenda mbali zaidi na kulishambulia Kanisa Katoliki,akiwatuhumu maaskofu kwamba wamebadili salamu ya imani ya dhehebu hilo ya Kristu Tumaini letu na kwamba wanaagiza waumini waseme; UKAWA Tumaini letu''''.
DUH! HII KALI AISEE
I trully like that guy at some points na hasa kuwaambia ukweli hao jamaa wa kijani na Zanzibar yao.
Wazanzibari wanapaswa kutambua kuwa baada ya kumpindua Sultan mwarabu sasa wanatawaliwa na Tanganyika kwa kisingizio cha muungano!
ngoja kwanza mr.London, zanzibar haikukabithi kiti chake tg ila ilikirudisha na kuhamia kiti ch tg. au ww ulitaka tg ihamie kiti cha znz. baada ya muungano kiti un lazima kingekua kimoja.au wewe ndio wale wanaojidai kukubali muungano lakini znz iwe na kiti un!
Sasa na izi pesa za TRA zinazosafirishwa kuletwa bara inakuaje? Hiyo misaada inayokuja kwa jins la TANZANIA inaishia wapi? Ile chenji ya Radar imeishia wapi na ilisemwa kuwa ni hela ya muungano? Hebu nielewesheni, izi pesa za Muungano mnazotubebea zinatumika wapi? Wakati barabara zanzibar zinajengwa na SMZ au msaada kutoka nje? Airport inajengwa na SMZ, bandari SMZ, hio hela mnayotubeba iko wapi? Inatumika kulipia mishahara ya Zanzibar kama mnavojidai? Kuwalipa walimu mnapata shida kisha mulipe wafanyi kazi wa SMZ? Labda muwalipe kwa kuwafanya wanyamaze! Nyinyi kama Tanganyika mmeifanyia nini Zanzibar hasa hata mseme mnatubeba wakati nyie wenyewe hamjiwezi!miji yenyewe mnajengewa na wazanzibari na ajira mnapewa na wazanzibari. Eti anatoka mtu uko anasema wazanzibari wanapenda vya bure kumbe choyo tu akiona wazanzibari wakiweka majengo katika nchi ambayo watu hata kujenga chumba hawajui..... Kama Keissy kidume atangaze kuwa Muungano basi na wala huo wa mkataba usiwepo, atakuwa katusaidia sana tena tutamshukuru sana. Asikae akazungumza mambo asoyajua, analalamika jimboni kwake hakuna maji, ni mbunge saivi miaka mingapi? Kishapokea kiasi gani? Kama anauchungu na watu wake angewafikishia maji zamani tu..... Au ata kisima huwezi kuchimba uko unapoishi?
Huo tulishazoea anapaswa kupimwa akili.
Sasa na izi pesa za TRA zinazosafirishwa kuletwa bara inakuaje? Hiyo misaada inayokuja kwa jins la TANZANIA inaishia wapi? Ile chenji ya Radar imeishia wapi na ilisemwa kuwa ni hela ya muungano? Hebu nielewesheni, izi pesa za Muungano mnazotubebea zinatumika wapi? Wakati barabara zanzibar zinajengwa na SMZ au msaada kutoka nje? Airport inajengwa na SMZ, bandari SMZ, hio hela mnayotubeba iko wapi? Inatumika kulipia mishahara ya Zanzibar kama mnavojidai? Kuwalipa walimu mnapata shida kisha mulipe wafanyi kazi wa SMZ? Labda muwalipe kwa kuwafanya wanyamaze! Nyinyi kama Tanganyika mmeifanyia nini Zanzibar hasa hata mseme mnatubeba wakati nyie wenyewe hamjiwezi!miji yenyewe mnajengewa na wazanzibari na ajira mnapewa na wazanzibari. Eti anatoka mtu uko anasema wazanzibari wanapenda vya bure kumbe choyo tu akiona wazanzibari wakiweka majengo katika nchi ambayo watu hata kujenga chumba hawajui..... Kama Keissy kidume atangaze kuwa Muungano basi na wala huo wa mkataba usiwepo, atakuwa katusaidia sana tena tutamshukuru sana. Asikae akazungumza mambo asoyajua, analalamika jimboni kwake hakuna maji, ni mbunge saivi miaka mingapi? Kishapokea kiasi gani? Kama anauchungu na watu wake angewafikishia maji zamani tu..... Au ata kisima huwezi kuchimba uko unapoishi?
Kama huyu mzanzibar mmoja anasema eti Zanzibar ipongezwe kwa kukabidhi kiti chake UN mikononi mwa Tanzania Bara. Ivi hili ni jambo la kifahari? MZanzibar kweli anaongea jambo hili na kuona ni sifa? mi nadhan huyu ndiyo kwenda kupimwa akili
ngoja kwanza mr.London, zanzibar haikukabithi kiti chake tg ila ilikirudisha na kuhamia kiti ch tg. au ww ulitaka tg ihamie kiti cha znz. baada ya muungano kiti un lazima kingekua kimoja.au wewe ndio wale wanaojidai kukubali muungano lakini znz iwe na kiti un!
Kwangu mimi huyu MHs.Kessy ni MTANGANYIKA wa kweli....hakuna kumung'unya...mwizi aitwe mwizi.......!
Kessy yuko sahihi na kama tatizo ni kupoteza kiti kimataifa hata Tanganyika ilipoteza kiti chake cha Tanganyika.kinachofanyika hapo ni ujinga tu, wa ccm lakini Kessy yuko sawa