KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 3,209
- 5,411
Huu ndio uzi mfupi zaidi kuwahi kuandikwa na Britannica ambao sio tetesi
Samia, Kikwete, Rostam, kuna wa kuweza kuwashida hadi sasa?Hapo mwisho bila kuchelewa!
Uchunguzi huru,
Ikitokea baada ya uchunguzi kiwa huru then ikaonekana yalikua maagizo kutoka juu!
Je huko juu kutatiwa hatiani!!?
Au ndio maana nimeshaanza kuona post kule Facebook kwamba;-
1.natamani siku ziishe nipumzike!!
2.kimataifa tunasifiwa tatizo ni humu ndani!
3. Tutamkumbuka mama kwa mazuri mengi!!
Ndio kusema desert mission imeiva au!!?
Ndio kusema Lisu akitoka atakinukisha zaidi na wote tutaimba wimbo wa katiba mpya ama sivyo !huku makam akisapoti au yeye ndio atapewa asimamie!!?
Hebu jazia nyama hapo!!
Mkuu britaniccaTiyari huko
Yaliomo ni hata 3.Hapo mwisho bila kuchelewa!
Uchunguzi huru,
Ikitokea baada ya uchunguzi kiwa huru then ikaonekana yalikua maagizo kutoka juu!
Je huko juu kutatiwa hatiani!!?
Au ndio maana nimeshaanza kuona post kule Facebook kwamba;-
1.natamani siku ziishe nipumzike!!
2.kimataifa tunasifiwa tatizo ni humu ndani!
3. Tutamkumbuka mama kwa mazuri mengi!!
Ndio kusema desert mission imeiva au!!?
Ndio kusema Lisu akitoka atakinukisha zaidi na wote tutaimba wimbo wa katiba mpya ama sivyo !huku makam akisapoti au yeye ndio atapewa asimamie!!?
Hebu jazia nyama hapo!!
Ninauza shamba langu eka 3 nipate pesa ya kuwalipa MASSAD watuondolee genge hili haramu kama walivyombutua Khomenei...Samia, Kikwete, Rostam, kuna wa kuweza kuwashida hadi sasa?
Tiyari huko
Nabii Mystic alitabiri kikao kizito cha baadhi ya watu wazito kitakutana usiku wa maanane ili kufanya maamuzi mazito, na pia kutoa rai ya kuiombea sana nyota kutoka BrazilMkuu britanicca
1. Nani ameandaa barua?
2. Barua inaenda kwa nani?
3. Inahusu nini Barua?
Hivi EL alijiuzulu kwa hiari au alijikuta hana ulinzi akalazimishwa kujiuzulu au?
Vipi Mzee wa Ayoub wa Galilaya aliandika yeye barua au ni Rostam?
Kisa mabwabwa ya Abdul yanafikiri hivyo.Lazima heche akimbia mji mwaka huu.
"Tiyari" nini? Au unaota?Tiyari huko