Keep waiting , Barua ishaandaliwa

Keep waiting , Barua ishaandaliwa

Hapo mwisho bila kuchelewa!

Uchunguzi huru,

Ikitokea baada ya uchunguzi kiwa huru then ikaonekana yalikua maagizo kutoka juu!

Je huko juu kutatiwa hatiani!!?

Au ndio maana nimeshaanza kuona post kule Facebook kwamba;-

1.natamani siku ziishe nipumzike!!
2.kimataifa tunasifiwa tatizo ni humu ndani!
3. Tutamkumbuka mama kwa mazuri mengi!!

Ndio kusema desert mission imeiva au!!?

Ndio kusema Lisu akitoka atakinukisha zaidi na wote tutaimba wimbo wa katiba mpya ama sivyo !huku makam akisapoti au yeye ndio atapewa asimamie!!?

Hebu jazia nyama hapo!!
Samia, Kikwete, Rostam, kuna wa kuweza kuwashida hadi sasa?
 
Hapo mwisho bila kuchelewa!

Uchunguzi huru,

Ikitokea baada ya uchunguzi kiwa huru then ikaonekana yalikua maagizo kutoka juu!

Je huko juu kutatiwa hatiani!!?

Au ndio maana nimeshaanza kuona post kule Facebook kwamba;-

1.natamani siku ziishe nipumzike!!
2.kimataifa tunasifiwa tatizo ni humu ndani!
3. Tutamkumbuka mama kwa mazuri mengi!!

Ndio kusema desert mission imeiva au!!?

Ndio kusema Lisu akitoka atakinukisha zaidi na wote tutaimba wimbo wa katiba mpya ama sivyo !huku makam akisapoti au yeye ndio atapewa asimamie!!?

Hebu jazia nyama hapo!!
Yaliomo ni hata 3.

Mosi la aicc
Pili VP kujiuzulu
La tatu ni la TAL

La nne kuelekea maridhiano ya Nani ni Nani
 
Mkuu britanicca
1. Nani ameandaa barua?
2. Barua inaenda kwa nani?
3. Inahusu nini Barua?
Hivi EL alijiuzulu kwa hiari au alijikuta hana ulinzi akalazimishwa kujiuzulu au?
Vipi Mzee wa Ayoub wa Galilaya aliandika yeye barua au ni Rostam?
Nabii Mystic alitabiri kikao kizito cha baadhi ya watu wazito kitakutana usiku wa maanane ili kufanya maamuzi mazito, na pia kutoa rai ya kuiombea sana nyota kutoka Brazil
 
Back
Top Bottom