Keep waiting , Barua ishaandaliwa

Keep waiting , Barua ishaandaliwa

1.TAL
2.VP
3.Mahakama toka orange nation
4.AFcon/CAf
Ramli zinazopewa nafasi,wacha tuone
 
Mimi barua zenu sizijui zaidi ya Commonwealth.

Ninachojua zimebaki siku 8 lissu aachiwe.

Asanteni sana wazungu
Jamaa hamwachii mkuu ndio maana wanatangaza tufunge mkanda sijui wana matatizo gani yaani wapo radhi Tanzania nzima tupate matatizo ila sio kukaa na Umoja wa Ulaya kukubali matakwa ambayo ni faida kwa Watanzania wote harafu wao wanaopata vitu bure wanatutangazia tufunge mkanda..
 
Nyinyi wote mnaandaliwa kuicheza Ngoma kama ilee ya 2015.
 
Unamaanisha wameniandikia barua ya kupandishwa cheo au?
 
All I know mwisho mfumo utashinda. Ukichakata mapito ya Taifa hili inawezekana kinasukwa kitu ambacho hakuna atayekuja kutikisa Taifa kwa miaka 50 ijayo. Hizi sarakasi ni za uchungu wa kuzaa lakini atatoka mtoto wenye siha njema ..... I believe tutabaki na Taifa imara.
Hata mimi nahisi hivi. Kwa sasa tuupe muda nafasi
 
Nyeti zishapigwa kofuli,now twala makombo tu.
hakuna tena ladha ile halisi ya pilau kila upande unatupa lawama kwa mwenzie kuambukizwa mafua.
 
All I know mwisho mfumo utashinda. Ukichakata mapito ya Taifa hili inawezekana kinasukwa kitu ambacho hakuna atayekuja kutikisa Taifa kwa miaka 50 ijayo. Hizi sarakasi ni za uchungu wa kuzaa lakini atatoka mtoto wenye siha njema ..... I believe tutabaki na Taifa imara.
Kikwete utadhani kama si Mtanganyika, yaani unaenda kumweka Mzanzibari awe rais wa Watanganyika kweli?
Zanzibar inajengwa sana kipindi hiki kuliko wakati wowote ule,
 
Utabiri umekuwa mwingi umekuwa kama mganga wa kienyeji
 
Kikwete utadhani kama si Mtanganyika, yaani unaenda kumweka Mzanzibari awe rais wa Watanganyika kweli?
Zanzibar inajengwa sana kipindi hiki kuliko wakati wowote ule,
Ni kweli, kwa upande mmoja tunaweza kumlaumu huyu, lakini tukumbuke JK ni mmoja tu, tulio wengi ndo wenye nguvu ya kukataa ujinga huo. Sisi watanganyika ndo tumelala usingizi mzito. Siyo kwamba hatuwezi, tunaweza vizuri kabisa. Shida kubwa inayotukumba ambayo hata madhalimu yanatumia kutukandamiza ni ujinga wetu, kutojitambua kwetu, umaskini na woga wetu.
Yaani, ingetokea watanganyika wote siku moja tu wote tukajitambua, inawezekana kabisa siku inayofuata ukombozi kamili wa Nchi utapatikana tena asubuhi kabla hata ya saa mbili.
 
Nasikia hivo pia aliyeenda Zanzibar miaka 5 ilopita ni tofauti kubwa sana na ya sasa, wametoa wapi pesa?
Wakati Mwingulu akiwa waziri wa fedha deni la taifa liliongeza kasi ya kupanda ya 5G, hii ni kwa sababu Bi Msumi anajua akikopa Bilioni 500 Zanzibar nayo ina fungu lake kwenye huo mkopo, baada ya Mwingulu sasa kamweka Mzanzibari mwenzake wizara ya mambo ya nje ili senga la asali Zanzibar izidi kufaidika.
Nendeni Zanzibar mkaone inavyojengwa kwa kasi ya 5G, hospitali kila Sehemu zimejengwa na zinajengwa tena za ghorofa hadi vijijini huko, kiasi kwamba hata wafanyakazi wamekuwa wachache kwa wingi wa hospitali,
Shule nazo za primary na secondary majengo ya zamani yanavunjwa kisha kujengwa upya hadhi ya ghorofa 3 nk nk,
Barabara za lami kila chochoro ya Zanzibar, hadi vijijini huko barabara zake za ndani ndani ni lami.
Pascal Mayalla
 
Back
Top Bottom