Keep waiting , Barua ishaandaliwa

Keep waiting , Barua ishaandaliwa

Nadhani ni kuachiwa kwa mwenyekiti wa wale jamaa.

Hata hivyo ikiwa hivyo litakuwa jambo jema Sana na baada ya kuachiwa ni vema mambo mengine yafanyike wanguwangu Sana maana ni kama taifa limesimama sana hakuna kinachoendelea cha maana nchini ni Bora michakato ya katiba na time huru ya uchaguzi zifanyike ili kufikia 2030 ufanyike uchaguzi wapatikane viongozi watakaolipeleka taifa mbele.
 
Kwambaa?

Naona na wapiga ramli wa X wameshaanza kupenyeza za hapa na pale!
Screenshot_20260802_152254_X.jpg
 
Nadhani ni kuachiwa kwa mwenyekiti wa wale jamaa.

Hata hivyo ikiwa hivyo litakuwa jambo jema Sana na baada ya kuachiwa ni vema mambo mengine yafanyike wanguwangu Sana maana ni kama taifa limesimama sana hakuna kinachoendelea cha maana nchini ni Bora michakato ya katiba na time huru ya uchaguzi zifanyike ili kufikia 2030 ufanyike uchaguzi wapatikane viongozi watakaolipeleka taifa mbele.
Kuachiwa kwa mwenyekiti hakuhitaji barua
 
Back
Top Bottom