Kazi zipo ila wengi hatujui tulichokisomea

Kazi zipo ila wengi hatujui tulichokisomea

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,156
Reaction score
55,656
Wengi tumeenda vyuo tukasoma na kutunukiwa vyeti mbalimbali; ila ukiulizwa hiyo fani ulioisomea unatakiwa ufanye nini, unashindwa kujieleza au kuonyesha kwa vitendo namna elimu ulioipata huko vyuoni inavyoweza kutatua changamoto zilizopo.

Mwingine atasema nimesomea IT, Computer sayansi, Biashara n.k; sasa tueleze, katika hiyo fani yako unaweza kufanya nini cha ajabu ili Dunia ijue, ulichokisomea unakitendea haki?

Wengi tunakimbilia kwenye koneksheni,uchawa n.k kwa sababu tulienda shule na hatujui tulichokisomea.

Kama wewe unaelewa ulichokisomea shuleni/vyuoni, tuonyeshe kwa vitendo unaweza kufanya nini cha ajabu, ambacho mtu wa darasa la saba hawezi kufanya.​

Karibuni kwa mjadala.
 
Wengi tumeenda vyuo tukasoma na kutunukiwa vyeti mbalimbali; ila ukiulizwa hiyo fani ulioisomea unatakiwa ufanye nini, unashindwa kujieleza au kuonyesha kwa vitendo namna elimu ulioipata huko vyuoni inavyoweza kutatua changamoto zilizopo.

Mwingine atasema nimesomea IT, Computer sayansi, Biashara n.k; sasa tueleze, katika hiyo fani yako unaweza kufanya nini cha ajabu ili Dunia ijue, ulichokisomea unakitendea haki?

Wengi tunakimbilia kwenye koneksheni,uchawa n.k kwa sababu tulienda shule na hatujui tulichokisomea.

Kama wewe unaelewa ulichokisomea shuleni/vyuoni, tuonyeshe kwa vitendo unaweza kufanya nini cha ajabu, ambacho mtu wa darasa la saba hawezi kufanya.​

Karibuni kwa mjadala.
kitu pekee cha kumkomboa mtu dunia ya sasa ni kuishi potential yake , kipaji chake baaaasi.
 
Wengi tumeenda vyuo tukasoma na kutunukiwa vyeti mbalimbali; ila ukiulizwa hiyo fani ulioisomea unatakiwa ufanye nini, unashindwa kujieleza au kuonyesha kwa vitendo namna elimu ulioipata huko vyuoni inavyoweza kutatua changamoto zilizopo.

Mwingine atasema nimesomea IT, Computer sayansi, Biashara n.k; sasa tueleze, katika hiyo fani niyako unaweza kufanya nini cha ajabu ili Dunia ijue, ulichokisomea unakitendea haki?

Wengi tunakimbilia kwenye koneksheni,uchawa n.k kwa sababu tulienda shule na hatujui tulichokisomea.

Kama wewe unaelewa ulichokisomea shuleni/vyuoni, tuonyeshe kwa vitendo unaweza kufanya nini cha ajabu, ambacho mtu wa darasa la saba hawezi kufanya.​

Karibuni kwa mjadala.
Nakula Maisha silali njaa 🐒

SUA bana dah raha sana 🤣
 

Attachments

  • IMG_20240105_082414_7.jpg
    IMG_20240105_082414_7.jpg
    508.7 KB · Views: 18
Bongo kipindi cha nyuma mzazi ndo anachaguwa usomee nini daah ni tatizo kubwa wengine walisoma kozi ambazo sio chaguo kwao.
Na matokeo yake, anakuwa na cheti na hajui alichokisomea anatakiwa afanye nini
 
Nilichosomea nakifanya

Asante CHUO CHA MAJI WI
Vyuo vingi vyenye muundo wa kada ya kati, angalau vinajitahidi kuwapa ujuzi vijana wao; ata akihitimu anajua anaenda kufanya nini.
 
Back
Top Bottom