Je, ni wakati sahihi wachezaji wa Ulaya kutuachia AFCON yetu?

bryan2

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
3,323
4,667
Afcon ndio hiyo imeshika kasi pale nyumbani kwa Fundi Pacome Ivory coast mpaka sasa sio haba ila bado tunamiss lile soka haswa la kiafrika soka la mashuti mazito, soka la nguvu, soka la kutumia winga kwa timu kutoka upande wa Kaskazini mwa Afrika.

Tumeshuhudia mechi za awali timu zinazopigiwa chapuo nyingi zimeponea chupuchupu kupoteza mechi zao za awali na wakionyesha kiwango duni pamoja na wachezaji wao wengi kutoka vilabu vikubwa vya Ulaya na wengine ni mastaa kabisa kwenye timu zao.

Binafsi nahisi umefika wakati wa makocha wa timu za Taifa kuita wachezaji wengi wa ndani na angalau wachezaji wanne wa nje tena wale wengi uzalendo wa haswa ambao wapo tiyari kujitoa kwa maslahi ya nchi zao.

Nimeagalia gemu ya Nigeria jana pamoja na Cameroon leo pamoja na kuwa na wachezaji wengi karibia asilimia 99 ila bado hamna kitu wengi wanacheza kupata sifa binafsi na sio kwa maslahi ya timu.

Zamani tulikua na kauli ya kusema timu imejaa mafather au wanacheza kifather ndio nimelishuhudia hilo kwa hizi gemu za awali Nigeria wao wamebaki na style za nywele tu ubishoo mwingi, Cameroon leo mpaka Etoo alikua anatikisa kichwa kwa kiwango kibovu cha wachezaji wake.

Makocha Waite wachezaji wengi wa ndani ili tuone lile soka la kiafrika na hawa watacheza kwa bidii na nguvu ili wauzike Ulaya.
 
Unaelewa kweli maana ya mashindano,au unajuandikia tu baada ya kuona huyo pacome wako ata wakiitwa wachezaji milioni hawezi kuitwa.Mchezaji mzuri ndiye atakayeitwa.ata huyo pacome anauwezo wakuitwa endapo atakua bora kwasababu ata yeye anaweza kupambana afike uko ulaya.
 
Afcon ndio hiyo imeshika kasi pale nyumbani kwa Fundi Pacome Ivory coast mpaka sasa sio haba ila bado tunamiss lile soka haswa la kiafrika soka la mashuti mazito, soka la nguvu, soka la kutumia winga kwa timu kutoka upande wa Kaskazini mwa Afrika.

Tumeshuhudia mechi za awali timu zinazopigiwa chapuo nyingi zimeponea chupuchupu kupoteza mechi zao za awali na wakionyesha kiwango duni pamoja na wachezaji wao wengi kutoka vilabu vikubwa vya Ulaya na wengine ni mastaa kabisa kwenye timu zao.

Binafsi nahisi umefika wakati wa makocha wa timu za Taifa kuita wachezaji wengi wa ndani na angalau wachezaji wanne wa nje tena wale wengi uzalendo wa haswa ambao wapo tiyari kujitoa kwa maslahi ya nchi zao.

Nimeagalia gemu ya Nigeria jana pamoja na Cameroon leo pamoja na kuwa na wachezaji wengi karibia asilimia 99 ila bado hamna kitu wengi wanacheza kupata sifa binafsi na sio kwa maslahi ya timu.

Zamani tulikua na kauli ya kusema timu imejaa mafather au wanacheza kifather ndio nimelishuhudia hilo kwa hizi gemu za awali Nigeria wao wamebaki na style za nywele tu ubishoo mwingi, Cameroon leo mpaka Etoo alikua anatikisa kichwa kwa kiwango kibovu cha wachezaji wake.

Makocha Waite wachezaji wengi wa ndani ili tuone lile soka la kiafrika na hawa watacheza kwa bidii na nguvu ili wauzike Ulaya.
Subiri Mechi ya Taifa Stars, ina hoja zote ulizosema, na ina majibu yote.
 
Mtanielewa sasa kwanini nlikuja na hii posti kwa hivi vituko vya wenyeji Ivory Coast wachezaji hawana munkari wanacheza kilegevu mno haya wametolewa kesho wapande ndege warudi Ulaya wanakolipwa mabilioni hovyo kabisa.

Nliona mbali kwa Uzi huu wenyewe mmesikia Etoo kasema nini juu ya wachezaji wa Cameroon wanaocheza Ulaya na waliozaliwa Ulaya.

Wachezaji wanatufanyia ukatili sana tunakosa Mpira mtamu wa Kiafrika kwa kukosa Uzalendo wanalipwa pesa nyingi wanakula bata na wazungu mwisho wa siku zikiisha wanarudi kuwalilia Waafrika wenzao.

Ukowapi ule Mpira wa kina Julius Aghahowa, Victor Ikpepa, Emanuel Amunike, Patrick Mboma, Mido, jamba, Kali, Siyabonga Nomvete, Sibusiso Zuma et al jamaa walikua wanatupa ladha ya Mpira wa kiafrika.

Mchezaji mwenye uchungu angalau ni Victor Osmimeh wa Nigeria.

Ivory Coast wale bakora kwanza kabla ya kurudi Ulaya.
 
Mtanielewa sasa kwanini nlikuja na hii posti kwa hivi vituko vya wenyeji Ivory Coast wachezaji hawana munkari wanacheza kilegevu mno haya wametolewa kesho wapande ndege warudi Ulaya wanakolipwa mabilioni hovyo kabisa.

Nliona mbali kwa Uzi huu wenyewe mmesikia Etoo kasema nini juu ya wachezaji wa Cameroon wanaocheza Ulaya na waliozaliwa Ulaya.

Wachezaji wanatufanyia ukatili sana tunakosa Mpira mtamu wa Kiafrika kwa kukosa Uzalendo wanalipwa pesa nyingi wanakula bata na wazungu mwisho wa siku zikiisha wanarudi kuwalilia Waafrika wenzao.

Ukowapi ule Mpira wa kina Julius Aghahowa, Victor Ikpepa, Emanuel Amunike, Patrick Mboma, Mido, jamba, Kali, Siyabonga Nomvete, Sibusiso Zuma et al jamaa walikua wanatupa ladha ya Mpira wa kiafrika.

Mchezaji mwenye uchungu angalau ni Victor Osmimeh wa Nigeria.

Ivory Coast wale bakora kwanza kabla ya kurudi Ulaya.
wachezaji wote uliotaja walizisaidia Nin timu zao za Taifa kwenye kombe la Duniani toka kombe la Dunia lianze bara Afrika limetoa Timu Mara moja tu kwenda semi final tena ni juzi tu 2022 na Unataka mpira wa Nguvu kwenye karne hii huoni kama ni ujinga wa kiwango cha mwisho unakumbuka mechi ya Japan na Senegal kwenye kombe la Dunia mwaka 2018 kama hukutazama Nenda katazame Ndio utajua kwanin Nguvu na ukubwa wa mwili sio kujaua mpira Ndugu zako walingia na Mtindo wakutumia Nguvu ila kilichowakuta wao Ndio wakaishia kudharilishwa tu Na urefu wao.
 
Mtanielewa sasa kwanini nlikuja na hii posti kwa hivi vituko vya wenyeji Ivory Coast wachezaji hawana munkari wanacheza kilegevu mno haya wametolewa kesho wapande ndege warudi Ulaya wanakolipwa mabilioni hovyo kabisa.

Nliona mbali kwa Uzi huu wenyewe mmesikia Etoo kasema nini juu ya wachezaji wa Cameroon wanaocheza Ulaya na waliozaliwa Ulaya.

Wachezaji wanatufanyia ukatili sana tunakosa Mpira mtamu wa Kiafrika kwa kukosa Uzalendo wanalipwa pesa nyingi wanakula bata na wazungu mwisho wa siku zikiisha wanarudi kuwalilia Waafrika wenzao.

Ukowapi ule Mpira wa kina Julius Aghahowa, Victor Ikpepa, Emanuel Amunike, Patrick Mboma, Mido, jamba, Kali, Siyabonga Nomvete, Sibusiso Zuma et al jamaa walikua wanatupa ladha ya Mpira wa kiafrika.

Mchezaji mwenye uchungu angalau ni Victor Osmimeh wa Nigeria.

Ivory Coast wale bakora kwanza kabla ya kurudi Ulaya.
Hapo tatizo ni akili za miafrika yenyewe ilivyo.Mbona nchi zingine wanacheza kwa kujituma pale inapohusu kupambania nchi zao.tumeona kombe la dunia lililoisha wenzetu walivyokua wanajituma.
 
wachezaji wote uliotaja walizisaidia Nin timu zao za Taifa kwenye kombe la Duniani toka kombe la Dunia lianze bara Afrika limetoa Timu Mara moja tu kwenda semi final tena ni juzi tu 2022 na Unataka mpira wa Nguvu kwenye karne hii huoni kama ni ujinga wa kiwango cha mwisho unakumbuka mechi ya Japan na Senegal kwenye kombe la Dunia mwaka 2018 kama hukutazama Nenda katazame Ndio utajua kwanin Nguvu na ukubwa wa mwili sio kujaua mpira Ndugu zako walingia na Mtindo wakutumia Nguvu ila kilichowakuta wao Ndio wakaishia kudharilishwa tu Na urefu wao.
Unafwatilia mpira kweli uliangalia Morroco walikua wanacheza Mpira gani world cup ulikua Mpira wa nguvu wa kukimbia dk 90 zote ndio maana wakapata mafanikio Afrika tuna style yetu ya uchezaji kwanini tuige vya wazungu au bado upo kwenye ile kasumba ya kila mzungu anajua Mpira, umeangalia Mpira wa Ivory coast na Nigeria leo wachezaji ni lazy kuliko maelezo.

Nakumbuka kocha wa Shaktar donestic baada ya kufungwa na Besiktas alisema ni ngumu sana kucheza na timu yenye waafrika wengi manake wanapiga soka la shoka.

Drogba, Michael Essien hawa pamoja na kuufahamu Mpira bado nguvu za kiafrika ziliwabeba.
 
Hapo tatizo ni akili za miafrika yenyewe ilivyo.Mbona nchi zingine wanacheza kwa kujituma pale inapohusu kupambania nchi zao.tumeona kombe la dunia lililoisha wenzetu walivyokua wanajituma.
Kuna chezaji moja la Nigeria limefake majeraha huku amefika Spain kachezea timu yake. Tumeuza uzalendo wetu
 
wachezaji wote uliotaja walizisaidia Nin timu zao za Taifa kwenye kombe la Duniani toka kombe la Dunia lianze bara Afrika limetoa Timu Mara moja tu kwenda semi final tena ni juzi tu 2022 na Unataka mpira wa Nguvu kwenye karne hii huoni kama ni ujinga wa kiwango cha mwisho unakumbuka mechi ya Japan na Senegal kwenye kombe la Dunia mwaka 2018 kama hukutazama Nenda katazame Ndio utajua kwanin Nguvu na ukubwa wa mwili sio kujaua mpira Ndugu zako walingia na Mtindo wakutumia Nguvu ila kilichowakuta wao Ndio wakaishia kudharilishwa tu Na urefu wao.
upo nje ya mada
 
Tanzania mpira bado hakuna cha Samata wala nani.

Pengine miaka mingi ijayo ndo wapatikane wachezaji.
 
Back
Top Bottom