Kazi ya kuuza duka Kimara

Kazi ya kuuza duka Kimara

Inabaki nyingi sana bro!
Ukila 5,000 unabakiza 5,000 ya kusave
kwa wiki 5,000 × 7 = 35,000
Halafu kwa mwezi 35,000 × 30
= 1,050,000 hapa utatoa nauli na marupurupu mengine, itabaki kama laki 9, ndani ya mwaka mmoja hujajenga kweli? Au hujafungua biashara kama hiyo ukawa boss? Maisha ni kupanga
Hii hesabu yako ya wapi kiongozi?

Yani 5000x7=35,000 per week
Then 35,000x30=1,050,000 per month duh..!! 😹

Kwahiyo 35000 umeweka kwa siku au sio?
 
Huyu jamaa mgaigai kipindi nimo juu ya mawe sichagui kazi chochote napita nacho mbele alitangaza kazi kama hv .....kuja kumcheki magumashi kibao.

Ww jamaa ulinipotezea sana muda wangu

Kwa kifupi hakuna kazi vijana samjo nyingi huyu.
😹😹😹 Unaweza kuwa wewe ndio kazi yenyewe..!!
 
1772671142385.png
 
😹😹😹 Unaweza kuwa wewe ndio kazi yenyewe..!!
Ile dhambi nafsi ilinisuta nikaikimbia kwa kifupi wadada wanaostruggle kutafuta kazi wanakutana na changamoto sana yahn wanaliwa sana sana na vijana wa hovyo.

Kuna dada mmoja alikuwa bint mdogo kazalishwa mapema ila mzuri lakini kafubaa na maisha vibaya nikamtafutia kazi feki kwa malengo yangu nije nimbandue yahn nimshenyente

Nikawa nimempanga jamaa yangu mchongo mzima nikampigia mbele ya huyo singo maza huku nimemuweka loud speaker ....Maongezi sasa

Me: Mkuu mambo vp ebhna ulishapata dada wa kumuweka pale kwenye stationary yako

Tapeli mwenzangu:Kwa sasa bado ila kuna shemaji yangu yule mdogo wa mke wangu ndio yupo anashikilia maana yupo likizo ila bado natafuta,vipi una mtu kama nilivyokwambia

Meme: Yeah kuna bint mmoja mtoto wa shangazi yangu(namjaza sasa ili aone nampambania) yupo nikasema ngoja nikuulize.(hapo bint katulia masikio yote yamesimama anajua kashapata mchongo masikini)

Tapeli mwenzangu: Una uhakika amenyooka kaka maana hapo wewe ndio unabeba dhamana mzee wangu me nitamchukua kwa sababu yako ebu mtest test kama ni mwaminifu

Me: Binti amenyooka na anajitambua mno kaka niamini mimi hana mbambamba(kipindi hiko msemo wa mbambamba ndio habari ya mjini)

Tapeli mwenzangu: Basi haina noma kaka Yule dogo akirudi shule wanafungua baada ya week mbili nitakuchek umlete ,anaitwa nani?

Me : Anaitwa Salma hana shida nadhani mambo ya malipo mtapanga akija kazini.

Tapeli mwenzangu : sawa mkuu limeisha hillo.

Hapo nikawa nimejipa week mbili za kubaluza mtoto wa watu halafu nipotee shwaaaaa kama kimbunga.

Baada ya hapo huyu binti akawa royal sana kwangu akiamin kuna kazi na kumbuka hapo anajua mimi ndio kila kitu ili apate kazi....sasa siku ya pili naonana nae gheto tukawa tunapiga stori (hii siku ndio ilikuwa nimshenyete hahahah) binti akaanza kunipa vipengele vyake sio poa yahn kazi hiyo kwake anaiona itakuwa kama Mungu wa pili....kwakweli nikashikwa na imani Nyege zilikata na yule bint akaondoka na 30k yangu ya ngana bila kumfanya chochote though yeye alikuwa willing kabisa nimbandue remind kipindi hiko niko juu ya mawe hali ngumu sana lakini kwa matatzio yake mimi nilikuwa na afadhali.

Mara baba wa mtoto amekimbia, home anakaa na bibi anaumwa mtoto nae anaumwa, ela hana (kuja gheto alitembea nauli ilikuwa buku tu). Hiyo 30k nimepa haamini yahn nakumbuka akasema basi naenda kumuangalia mtoto badae jioni nitakuja (naona hapa ndio alitaka aje anipe yote sasa). To make story short Nilikataa kutumia shida na njaa za zake ili nilale nae.

So huyu Boss wa mchongo kaona hii ndio iwe gia yake ya kuwarubuni mabint majobless, ila ni tabia mbaya mno badae unalalamika mipango haisomi kumbe kuna ushenzi ulifanya nyuma huku.
 
Ile dhambi nafsi ilinisuta nikaikimbia kwa kifupi wadada wanaostruggle kutafuta kazi wanakutana na changamoto sana yahn wanaliwa sana sana na vijana wa hovyo.

Kuna dada mmoja alikuwa bint mdogo kazalishwa mapema ila mzuri lakini kafubaa na maisha vibaya nikamtafutia kazi feki kwa malengo yangu nije nimbandue yahn nimshenyente

Nikawa nimempanga jamaa yangu mchongo mzima nikampigia mbele ya huyo singo maza huku nimemuweka loud speaker ....Maongezi sasa

Me: Mkuu mambo vp ebhna ulishapata dada wa kumuweka pale kwenye stationary yako

Tapeli mwenzangu:Kwa sasa bado ila kuna shemaji yangu yule mdogo wa mke wangu ndio yupo anashikilia maana yupo likizo ila bado natafuta,vipi una mtu kama nilivyokwambia

Meme: Yeah kuna bint mmoja mtoto wa shangazi yangu(namjaza sasa ili aone nampambania) yupo nikasema ngoja nikuulize.(hapo bint katulia masikio yote yamesimama anajua kashapata mchongo masikini)

Tapeli mwenzangu: Una uhakika amenyooka kaka maana hapo wewe ndio unabeba dhamana mzee wangu me nitamchukua kwa sababu yako ebu mtest test kama ni mwaminifu

Me: Binti amenyooka na anajitambua mno kaka niamini mimi hana mbambamba(kipindi hiko msemo wa mbambamba ndio habari ya mjini)

Tapeli mwenzangu: Basi haina noma kaka Yule dogo akirudi shule wanafungua baada ya week mbili nitakuchek umlete ,anaitwa nani?

Me : Anaitwa Salma hana shida nadhani mambo ya malipo mtapanga akija kazini.

Tapeli mwenzangu : sawa mkuu limeisha hillo.

Hapo nikawa nimejipa week mbili za kubaluza mtoto wa watu halafu nipotee shwaaaaa kama kimbunga.

Baada ya hapo huyu binti akawa royal sana kwangu akiamin kuna kazi na kumbuka hapo anajua mimi ndio kila kitu ili apate kazi....sasa siku ya pili naonana nae gheto tukawa tunapiga stori (hii siku ndio ilikuwa nimshenyete hahahah) binti akaanza kunipa vipengele vyake sio poa yahn kazi hiyo kwake anaiona itakuwa kama Mungu wa pili....kwakweli nikashikwa na imani Nyege zilikata na yule bint akaondoka na 30k yangu ya ngana bila kumfanya chochote though yeye alikuwa willing kabisa nimbandue remind kipindi hiko niko juu ya mawe hali ngumu sana lakini kwa matatzio yake mimi nilikuwa na afadhali.

Mara baba wa mtoto amekimbia, home anakaa na bibi anaumwa mtoto nae anaumwa, ela hana (kuja gheto alitembea nauli ilikuwa buku tu). Hiyo 30k nimepa haamini yahn nakumbuka akasema basi naenda kumuangalia mtoto badae jioni nitakuja (naona hapa ndio alitaka aje anipe yote sasa). To make story short Nilikataa kutumia shida na njaa za zake ili nilale nae.

So huyu Boss wa mchongo kaona hii ndio iwe gia yake ya kuwarubuni mabint majobless, ila ni tabia mbaya mno badae unalalamika mipango haisomi kumbe kuna ushenzi ulifanya nyuma huku.
Confession 🙌🙌
 
Naitwa s nipo mkoa x nimeona tangazo lako #jamiiforums
Kuuza duka
Vigezo namba ya nida
Na mtu wa karibu nipe muongozo nitapata ajira


.
.
.
.

Huyo ni mtu katuma MSG anaomba KAZI

Vaa Uhusika Wangu halafu nisaidieni kumjibu huyu mtu...
Inabaki nyingi sana bro!
Ukila 5,000 unabakiza 5,000 ya kusave
kwa wiki 5,000 × 7 = 35,000
Halafu kwa mwezi 35,000 × 30
= 1,050,000 hapa utatoa nauli na marupurupu mengine, itabaki kama laki 9, ndani ya mwaka mmoja hujajenga kweli? Au hujafungua biashara kama hiyo ukawa boss? Maisha ni kupanga
Kwa hiyo mwezi uko na wiki ngapi?
 
Huyu jamaa mgaigai kipindi nimo juu ya mawe sichagui kazi chochote napita nacho mbele alitangaza kazi kama hv .....kuja kumcheki magumashi kibao.

Ww jamaa ulinipotezea sana muda wangu

Kwa kifupi hakuna kazi vijana samjo nyingi huyu.
Ushawahi kukutana au kumuona huyo kijana mwenye Samjo Nyingi??
 
Back
Top Bottom