Kazi ya kuuza duka Kimara

Kazi ya kuuza duka Kimara

Na huo mshahara kula ni juu yako na kodi ya geto ni juu yako,,sijui nini kinabakia hapo
Inabaki nyingi sana bro!
Ukila 5,000 unabakiza 5,000 ya kusave
kwa wiki 5,000 × 7 = 35,000
Halafu kwa mwezi 35,000 × 30
= 1,050,000 hapa utatoa nauli na marupurupu mengine, itabaki kama laki 9, ndani ya mwaka mmoja hujajenga kweli? Au hujafungua biashara kama hiyo ukawa boss? Maisha ni kupanga
 
Ofisi inajihusisha na uuzaji wa GAS ZA KUPIKIA.

ENEO ILIPO : KIMARA

MAJUKUMU : YOTE YAHUSUYO OFISI HIYO

VIGEZO : UWE NA NIDA NA WADHAMINI (2) WENYE MAKAZI YA KUDUMU

MUDA WA KUINGIA KAZIN : 12:00 ASBH
MUDA WA KUTOKA : 3:50 USKU

MSHAHARA : 300,000

SIMU : 0786 _ 025 025 WHATSAPP/CALL/MSG

ANGALIZO : KAMA HUWEZI FIKA KAZIN BA KUTOKA MUDA TAJWA USINITAFUTE.

KAMA HUNA NIDA + WADHAMINI USINITAFUTE PIA.
Mkuu,sorry..inawezekana mtu ukafanya biashara pekee ya gesi?? Bila kuchanganya na bidhaa zingine visivyo husu gesi? Tumezoea hasa wilaya niliyopo hakuna duka huru la gesi..ila mtu anakuwa na biashara nyingine halafu anaweka na vimitungi vichache vya gesi hapo nje...

Ni kwamba hailipi? Ama ni kwa nini inafanyika hivyo
 
Ofisi inajihusisha na uuzaji wa GAS ZA KUPIKIA.

ENEO ILIPO : KIMARA

MAJUKUMU : YOTE YAHUSUYO OFISI HIYO

VIGEZO : UWE NA NIDA NA WADHAMINI (2) WENYE MAKAZI YA KUDUMU

MUDA WA KUINGIA KAZIN : 12:00 ASBH
MUDA WA KUTOKA : 3:50 USKU

MSHAHARA : 300,000

SIMU : 0786 _ 025 025 WHATSAPP/CALL/MSG

ANGALIZO : KAMA HUWEZI FIKA KAZIN BA KUTOKA MUDA TAJWA USINITAFUTE.

KAMA HUNA NIDA + WADHAMINI USINITAFUTE PIA.
Huyu jamaa mgaigai kipindi nimo juu ya mawe sichagui kazi chochote napita nacho mbele alitangaza kazi kama hv .....kuja kumcheki magumashi kibao.

Ww jamaa ulinipotezea sana muda wangu

Kwa kifupi hakuna kazi vijana samjo nyingi huyu.
 
HIYO C KAZI NI JELA INAYOMLIPA MSHAHARA MFUNGWA WAKE AKA KIFUNGO CHA NJE SAA KUMI NA MBILI SAA TATU HAHAHAHAHA HUHUU MWENYE SHIDA NA KAZI AJE NIMPE ANIANGALIZIE MASHAMBA YANGU YA PALACHICHI NAMPA LAKI TATU UNUSU NAMPA NA SHAMBA LA KULIMA IDADI UNAYOTAKA WEWE HATA UKITAKA KUJILIMIA HEKA 30 UTAJUA WEW KIKUBWA PARACHICHI ZANGU ZIANGALIWE SIO MNAKAA DALISALAMU AMBAKO UNALIFANYIA KAZI TUMBO NA UMRI UNAENDA wajukuu wako wataridhi hiyo laki tatu??
 
Kitambo yupo hivyo huyu,anahifanyaga ana'vimiradi kumbe holaa
Upo sahihi sana kaka anajifanyaga ana miradi mingi ya hapa na pale.....huyu tapeli tu atakuwa anatafuta wadada wenye njaa apite nao masikini.

Siwezi kumsahau huyu mbabaishaji wa JF alinisumbua kutafuta wadhamini nimempa taarifa zangu confedential halafu akapita mbele.
 
Upo sahihi sana kaka anajifanyaga ana miradi mingi ya hapa na pale.....huyu tapeli tu atakuwa anatafuta wadada wenye njaa apite nao masikini.

Siwezi kumsahau huyu mbabaishaji wa JF alinisumbua kutafuta wadhamini nimempa taarifa zangu confedential halafu akapita mbele.
Kama ni hivyo Inaonekana mlikuwa wengi, Kuna aliyekuzidi qualifications
 
Back
Top Bottom