Kazi ya kuuza duka Kimara

Kazi ya kuuza duka Kimara

Mkuu sasa mbona uko harshy hivyo? Huo mshahara wa 300,000 kwa mwezi ina maana atakuwa analala na kula kwako au atakuwa anajitegemea kwa kila kitu hadi nauli? Nyie ndio mnasababisha vijana wanakuwa mawinga kwa kupandisha bei bidhaa ili wajilipe mishahara indirectly.
Kuna ubaya kijana kuwa Winga...
 
Back
Top Bottom