Marmeid
JF-Expert Member
- Dec 31, 2024
- 549
- 1,253
We jamaa hivi umesoma kweli hesabu, sio kwa ubaya nauliza tuInabaki nyingi sana bro!
Ukila 5,000 unabakiza 5,000 ya kusave
kwa wiki 5,000 × 7 = 35,000
Halafu kwa mwezi 35,000 × 30
= 1,050,000 hapa utatoa nauli na marupurupu mengine, itabaki kama laki 9, ndani ya mwaka mmoja hujajenga kweli? Au hujafungua biashara kama hiyo ukawa boss? Maisha ni kupanga