Kazi ya kuuza duka Kimara

Kazi ya kuuza duka Kimara

Inabaki nyingi sana bro!
Ukila 5,000 unabakiza 5,000 ya kusave
kwa wiki 5,000 × 7 = 35,000
Halafu kwa mwezi 35,000 × 30
= 1,050,000 hapa utatoa nauli na marupurupu mengine, itabaki kama laki 9, ndani ya mwaka mmoja hujajenga kweli? Au hujafungua biashara kama hiyo ukawa boss? Maisha ni kupanga
We jamaa hivi umesoma kweli hesabu, sio kwa ubaya nauliza tu
 
Back
Top Bottom