Kazi ya kusafisha mifumo ya majitaka ikiendelea kutekelezwa na DAWASA Jijini Dar

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,814
11,991
Kazi ya kusafisha mifumo ya majitaka ikiendelea kutekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) katika mtaa wa Mchikichi na Kongo Kariakoo Jijini Dar es salaam.

Kuziba kwa mfumo huu kunasababishwa na wananchi wenye tabia ya kutupa taka ngumu ikiwemo mawe makubwa katika chemba za majitaka na kusababishia uchafuzi wa Mazingira.

Mamlaka inasisitiza matumizi sahihi ya miundombinu ya majitaka ili kuilinda na kulinda uchafuzi wa Mazingira, usitupe taka ngumu kwenye chemba za majitaka

IMG-20240112-WA0018.jpg
 
Kuziba kwa mfumo huu kunasababishwa na wananchi wenye tabia ya kutupa taka ngumu ikiwemo mawe makubwa katika chemba za majitaka na kusababishia uchafuzi wa Mazingira.
Nani ameshindwa kuweka vizuizi vya mawe kuingia au ni mbinu ya kutengeneza fursa
 
Kazi ya kusafisha mifumo ya majitaka ikiendelea kutekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) katika mtaa wa Mchikichi na Kongo Kariakoo Jijini Dar es salaam.

Kuziba kwa mfumo huu kunasababishwa na wananchi wenye tabia ya kutupa taka ngumu ikiwemo mawe makubwa katika chemba za majitaka na kusababishia uchafuzi wa Mazingira.

Mamlaka inasisitiza matumizi sahihi ya miundombinu ya majitaka ili kuilinda na kulinda uchafuzi wa Mazingira, usitupe taka ngumu kwenye chemba za majitaka

View attachment 2869697
Hiyo mifumo inamiaka zaidi ya 70 toka ijengwe...nchi ya hovyo hii msimbazi na morogoro road walitakiwa waweke mfumo mkubwa wakti wanajenga 2010 mwendokasi
 
Back
Top Bottom