Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,988
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imeanza kutekeleza kazi ya kufunga kifaa cha kusukuma maji (Booster pump) kwa lengo la kuongeza upatikanaji maji katika eneo la Mavurunza kwa ajili ya kupeleka maji katika maeneo ya Bonyokwa kwa Kichwa, Kwa Dani Mrwanda, Shedafa, Macedonia, mnara wa voda, Chuo cha Masanja, Bonyokwa Kisiwani, JKT B, Msikiti wa Kijani, Mwisho wa Rami, Viwanja vya JKT na baadhi yatanufaika katika kata ya Kisukulu
Kazi inayoendelea sasa ni kutafuta usawa wa ardhi (leveling) kwa ajili ya msingi ili kuchimba na kulaza bomba.
Pia soma:
Kazi inayoendelea sasa ni kutafuta usawa wa ardhi (leveling) kwa ajili ya msingi ili kuchimba na kulaza bomba.
Pia soma:
Tabata Bonyokwa hatujaona tone la maji wiki ya tano sasa, DAWASA mnatuona manyani?
Ni mambo ya ajabu sana huku tulipofikishana. Septemba 21 mwaka huu DAWASA iliuhakikishia umma wa Tabata kuwa kutakuwa na uhakika wa maji, lakini mpaka leo navyopandisha mnakasha huu kuna baadhi ya mitaa maji kwetu yamebaki kuwa ndoto. Hata kama ni mgao, ndio wiki nne na zaidi? Hapana kwakweli...
www.jamiiforums.com